Mume ana wivu


ndoa ni zaidi ya hiyo, ingekuwa kuduu kunaleta chakula mezani bac hakuna ambae angehangaika.
 

kazi kwelikweli, kama jamaa ana kipato cha kutosha huko bongo basi amrudishe mkewe halafu awe anamlipa allowance za kukaa nyumbani na kucheza na watoto (kama wanao)
 

mhh...ngoja nifunge hili domo langu, ...wewe wewe wacha kabisa.
 
Well said kijana...Utanidai Al-Batar mmoja jike pale osheniki.... Halafu tukipiga infidelity wanapiga kelele.

Kamata hii kwanza!



The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:

Asprin (Today)




Halafu ukizingatia wife wa jamaa tokea mwezi wa tano yuko nje ya bongo na huu ni mwezi wa kumi hapo biolojia ya jamaa si inaweza kuota kutu ikawa matatizo ikashindwa kufunction properly
 

kazi na dawa kaka! bila hiyo bila msosi ataweza hata kudu?
 

Usisahau kuwa hapo kny red bila amani hapana issue, hapo ilibidi tu avumilie kwa sababu naamini mpaka huyo dada anapply hiyo kazi alimshirikisha mumewe,vp wewe Asprin wat if angekuwa wifi ndo ungekuwa hivyo?
 
ndoa ni zaidi ya hiyo, ingekuwa kuduu kunaleta chakula mezani bac hakuna ambae angehangaika.

Sawa ndoa ni zaidi ya hayo...Tukifuata priority? Priority kubwa ya ndoa ni kupeana vikojoleo...PERIOD!

Otherwise ningemuoa dada yangu ambaye nampenda sana ukilinganisha na navompenda mke wangu.

Vitendeeni haki Vikojoleo vyenu kwenye ndoa zenu tafazali! Laiti vingekuwa na mdomo wa kuvisemea....!
 
You will call me by my name Finest....YOU HAVE BEEN WARNED:mad2:

Ahaaa kumbe ni Smiles niliona kama vile jina limebadilika hebu kwanza pokea hizo:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:they will calm down your temper
 
ndoa ni zaidi ya hiyo, ingekuwa kuduu kunaleta chakula mezani bac hakuna ambae angehangaika.

Si ndiyo hapo,yani Nyamayao hakuna kitu kikubwa kama mwanaume kuwa na confidence na uelewa,binafsi naamini hupunguza matatizo.
 

Umenena vema Rose .

Ila ni vema kujua zaidi je huyo Dada na mumewe walikuwa na maisha ya amani hata alipokuwa nyumbani? Kabla hajasafiri? Usijekuta huyu ni mmoja wa wale wanaume wanaopenda kuabuse hakuna jema atakalofanya mke yeye akalifurahia. Na inavyoelekea mume ameshajua udhaifu wa mkewe .... wewe jitu likanune tu si linajua likinuna wewe utateseka!!
 

Something is missing here....
Huyu dada halalamikii kwamba mmewe ana-infidelise, infact angepanda a-infidelise ili aache kumsumbua na simu...
The whole concept here is the guy married to a wrong version of wife!
 
Halafu ukizingatia wife wa jamaa tokea mwezi wa tano yuko nje ya bongo na huu ni mwezi wa kumi hapo biolojia ya jamaa si inaweza kuota kutu ikawa matatizo ikashindwa kufunction properly
Hii ingetokea kwa mwanamke (amfanyie wivu wa hivi mumewe) nina uhakika kabisa mjadala usingekuwa na mwelekeo huu. Hivi mnafikiri na nyie mnaposafiri sisi huwa tuna miili na mioyo ya chuma? Hatuwamiss kama nyie mnavyotumiss? Eti miezi mitano mke yuko mbali. As if hata angekuwa karibu mnaridhika na kutochovya nje!!
 
Usisahau kuwa hapo kny red bila amani hapana issue, hapo ilibidi tu avumilie kwa sababu naamini mpaka huyo dada anapply hiyo kazi alimshirikisha mumewe,vp wewe Asprin wat if angekuwa wifi ndo ungekuwa hivyo?

Ingekuwa mimi?

Skiza Wise... Nlichomuolea wifiyo ni kupata huduma ya uhakika na ya halali ya kikojoleo jinsia ya kike. Niko tayari niishi kimasikini lakini hicho kidude kisiwe mbali zaidi ya sentimita 10 toka nilipo nyakati za usiku. Sasa kwasababu alikubali mbele ya kiapo kuishi nami katika shida na raha, na kwakuwa mimi ndio kichwa cha nyumba, na kwakuwa mimi kimamlaka ndio napaswa kuhangaikia familia yangu: Safari ya ughaibuni itakayozidi miaka miwili isingekuwepo. Akikomaa, tunavunja mkataba wa vikojoleo vyetu kusalimiana!
 
We DENA unatuchanganyia habari watu tuko kwenye Mchakato wa kuangalia namna ya kuzuia watu wa CCCM wasituibie Kura unaingiza Mambo ya Mapenzi si umrudishe Mke wa mtu,usituchanganye.
 
Hivi mtu unaweza kukaa aka 3 bila kumega au kumegwa (katika muktadha wa kuwa huru na siyo kizuizini wala kufungoni na mwenye afya nzuri kabisa)?
 

Unajua msingi mkubwa wa ndoa uko kwenye biolojia sasa mkiishaanza kutokupatiana biolojia zenu unafikiri itakuwaje bora arudi tu kulinda ndoa kusudi jamaa asije akajiunga na chama chetu haraka si unajua chama chetu kinavyo attract watu, halafu ukizingatia wife wa jamaa ameondoka tokea mwezi wa tano na huu ni mwezi wa kumi mwanaume hajaona biolojia ya mwenzake ndio maana mwanaume ana wivu, tena huyu mwanaume mzuri sana ana wivu na mkewe na sio nyumba ndogo.

Wanawake tusipowaonyesha wivu .....mtaanza ohooo tunafanya INFIDELITY........Ukiwa na wivu unaonekana una GUBU....... nifanye nini mie jamani?
 
Hivi mtu unaweza kukaa aka 3 bila kumega au kumegwa (katika muktadha wa kuwa huru na siyo kizuizini wala kufungoni na mwenye afya nzuri kabisa)?

The answer is NO na anayebisha awe wa kwanza ku OPPOSE ninachokisema hapa
 
Something is missing here....
Huyu dada halalamikii kwamba mmewe ana-infidelise, infact angepanda a-infidelise ili aache kumsumbua na simu...
The whole concept here is the guy married a wrong version of wife!

See Babu with no Mawani? Competeley out of phase! Now I undestand..... Ulikuwa wapi SG mtakatifu Roya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…