Mume ana wivu


Uko sawa kabisa, lkn vp kama kwa mwaka angekuwa anakuja mara moja? na akiwepo muda wote lile chama hupaswi kujiunga basi, otherwise thank God unaendelea kukaa mbali nacho
 
kazi kwelikweli, kama jamaa ana kipato cha kutosha huko bongo basi amrudishe mkewe halafu awe anamlipa allowance za kukaa nyumbani na kucheza na watoto (kama wanao)

Kwani kipato ndio kiliwaweka pamoja mbona tunachanganya mada hapa?
 
Uko sawa kabisa, lkn vp kama kwa mwaka angekuwa anakuja mara moja? na akiwepo muda wote lile chama hupaswi kujiunga basi, otherwise thank God unaendelea kukaa mbali nacho

Hebu kasome rules za chama chetu vizuri. ... Ile kitu hatufanyi usiku kucha. Usiku tunakuwa na vikojoleo vyetu halali baada ya kupiga tizi na kina Elizaz na nyie memba wenzetu. hebu angalia PM yako, nimekutumia risiti yako.

LONG LIVE ISC!
 
We DENA unatuchanganyia habari watu tuko kwenye Mchakato wa kuangalia namna ya kuzuia watu wa CCCM wasituibie Kura unaingiza Mambo ya Mapenzi si umrudishe Mke wa mtu,usituchanganye.

MS kwani umekuwaje? Mbona unakuwa mkali mda huu
 
 
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.
 
Originally Posted by Nyani Ngabu

Hivi mtu unaweza kukaa aka 3 bila kumega au kumegwa (katika muktadha wa kuwa huru na siyo kizuizini wala kufungoni na mwenye afya nzuri kabisa)?


Hakika Haiwezekani, Nadhani maximum tolerable period ni 6 months
 
 
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.

Mjukuu remember our aggreement regarding this? Ukirudia tena nakubwenga makwenzi!:A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
 
Umenena vema.............

Kama mtu ana gubu atakuwa na gubu hata akipewa kama ratiba ya mtoto mchanga ya kula haisaidii!!

Nyie acheni hayawajakuta.

On the same road and same highway, babu yako naye huyu bwana mwishowe atanipotezea dira kila ninapokufuata naye yuko nyuma yangu
 
hapa mnamaanisha kavu bila kutumia blanket chapa mtu au hata zile nyingine? Watu mnavisa nyie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…