Mume anahitaji!

Mume anahitaji!

Ata embe ni OG likaa mtini sanaaa linaota funzaaa, sembuse kidali

Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
Yan unanifananisha mm na embe..... Au kidali chako embe nini.....

Nimekushtukia utakua hauna mkia mbele wewe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] (joke)
 
Kichwa cha habari hujakimalizia. Umesema MUME ANAHITAJI....
Kwani anahitaji nini?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ni pm sifa zote nnazo. Kumbuka Hiyo bikira itakuwa haina maana ukivuka 30 sasa changamkia fursa hii umri unasogea huo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.

Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.

Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.

Sifa zangu utazipata ukija pm.

Kwa walio serious tu.

Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.

Haya njooni sasa.
Hello nipo serious kwa ombi laki kama bado uko free tuwasiliane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah..... Size ya dushe haihusiki?[emoji13] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Kila mwanamke anataka ........sifa awe mrefu inamaana wafupi wasioe/wasipate wachumba na je kina Dada wote ni warefu.????.

Tupe sifa zako na ww
 
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.

Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.

Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.

Sifa zangu utazipata ukija pm.

Kwa walio serious tu.

Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.

Haya njooni sasa.
Kuonesha ulivyo mpuuzi unataja sifa za mwenzio unaacha zako..! Stupidity what natafuta mtu ninayemhitaji nitaota mtafutaji wewe afu utuwekee mashart ya kipuuzi
 
Back
Top Bottom