Mtazamo wako huo,,sina nenoHii Astaravista, inaonyesha jinsia yako sio Ke ! [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Mh...!!Mtazamo wako huo,,sina neno
tuma CV mkuuHiyo miaka 36+ unataka mpaka nije na cheti cha kuzaliwa au kwa imani tu?
Hayaah kitu ishakuwa mpya tena kama haijatolewa seal. Au muda huo wa 3yrs imetumika tumika kidogo mechi za mchangani?Miaka mi3,,
Ka picha kangesaidia zaidiHabari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Hajakwambia ameshindwa kulea! Anataka mume bwanaWe lea tu watoto wako...
Hivi ina maana gani??Duh wewe unaejua hadi
ASTALAVISTA
si haba
ni haki ktk ndoa uachie ngaz
Wewe ungeweza? Au mradi aolewe??Hahahahahaha hatari na masharti juu tena
Chonga mzinga baba! Ujilie asalidah umepost ki-romantic mpk moyo umepata raha sijaitwa dear kama miezi 6 hivi
Nipo mwanza, kama upo serious,, ni mp,,Naheshim mtazamo wako,asante
Namimi sikumaanisha ameshindwa kulea..Hajakwambia ameshindwa kulea! Anataka mume bwana
Nae damu inachemka! Wewe huoni anakosa vitu vya msingiNamimi sikumaanisha ameshindwa kulea..
Point yangu ni akae, atulizane alee hao watoto inatosha.....
Ingependeza eeeKa picha kangesaidia zaidi
Mmmmhhh,, asante kwa mtazamo wako,,atakaefanikiwa atajua kila kituSABABU ZA KUTENDWA VIBAYA....ELEZEA PENGINE ANAEKUJA NAE HAYATAKI ULIONAYO AKAKUTENDA ZAIDI....
JIMWAGE MAMA TAJA CV ZAKO ZAIDI....
UNATUMIKAJE UKIWA KWENYE 6*6 0UNAJITUMA KWELI AMA LAH...
HUTAKI MUME MVIVU PIA 6*6 NAONGEZA HAYA SABABU NAJUA NDOA NYINGI ZIKIACHANA VYANZO VIKUU N HIVYO UKIHITAJI ZAIDI..NI INBOX MUNGU AKUTIE NGUVU..WAWEKE WAZI BIASHARA YA KUALALA KAKA NA DADA HAIMO
UNALEWA UNARUDI NYUMBANI UMECHKKA WAAMBIE WAKALALAE KWA WAZAZI WAO KWAKO N KAZI TU.
IngependezaMm sema ni muslim ila nami nina wawili so ingematch