Mume anahitajika 36+

Wanakuja wapokee
 
Naona x wako mliachana kwa ulevi wake,.. si ndiyo? basi siyo walevi wote ni wabaya mi hata kama sina hela ya kulewea mke wangu ananipa nikalewe maana nikiwa high huwa nampenda na nakuwa romantic kwake sana. bila kulewa hata kuongea ndani ya nyumba inakuwa shida basi anakuwa bored mpaka anadhamini nikapige mbili na nyagi ndogo basi nikishakunywa niambie hiyo spidi ninayomrudia sasa, utaipenda
 
Nipo tayari!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…