Asante Mark[Utapata]
SijakuelewaMama upo tayari kunipenda Mimi na mdogo wangu nikamwambie Baba?
Hahahah,, njoo pmHapa hapa mwalimuu jibu usiwe mbinafsi tafadhali
Kwani pombe inatatizo gani?
IpoVp chura ipo mama
Hahahah,,Hiyo miaka 36+ unataka mpaka nije na cheti cha kuzaliwa au kwa imani tu?
Karibu inboboUko mwanza sehemu gani nikutafute. Nina mtoto mmoja na sifa ulizotaja ninazo zote na za ziada. Nilimwacha x wangu maana alikuwa muongo, mbea na mlevi sana hasa akienda kwenye sherehe. Karibu
NawapokeaWanakuja wapokee
Karibu PMNipo tayari!!
Hahahah,, elimu bure kwa wote hahahahWatoto wengi ukiongeza Na wangu c tutashindwa kulipa ada
Njoo pm,,ila una jina kama la kakaanguMi nko tayari nimekidhi vigezo vyote so nakupataje mama?
Asante myMungu akukutanishe na haja za moyo wako.
Hahahah, weweeeYaani timu zinaingia tu uwanjani kabla filimbi ya kuanza mchezo haijapulizwa tayari timu Moja inaongoza magoli mawili