Nilishakujaga hapa kipindi cha mwaka 2017 na namshukuru Mungu alinipa mume mwema.
Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu la kuwalea wote hata kama hawataishi pamoja kama upo serious naomba unijie inbox.
Yeye anaumri 38-42 ni Mkristo, hana mtoto. Nakuomba tu kama unaona haikuhusu usicoment kumtolea kashfa au kumdhihaki.
Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu la kuwalea wote hata kama hawataishi pamoja kama upo serious naomba unijie inbox.
Yeye anaumri 38-42 ni Mkristo, hana mtoto. Nakuomba tu kama unaona haikuhusu usicoment kumtolea kashfa au kumdhihaki.