Mume anahitajika

Status
Not open for further replies.

Daughter1994

Member
Joined
Jan 12, 2021
Posts
11
Reaction score
18
Mume hupatikana popote hata sokoni

Sifa zangu ni hizi
1- Hofu ya Mungu
2-Mchaga wa rombo
3- Umri 25-29
4-Sijaajiliwa naungaunga na vbiashara vidogo
5- Sijawahi KUOLEWA.
6- Elimu ninayo ya ualimu
7- Dini: Mkristo mkatoliki
8- Umbo: Mimi sio pisi Kali ,ni size, sio mrefu Wala mfupi ni wa kawaida sio mnene .

Sifa za mume mtarajiwa
1- Amuogope MUNGU afanyapo maovu
2- Akiwa mchaga mwenzangu(hata akiwa nje ya nchi) itapendeza zaidi ila na wengine mnakaribishwa
3- Umri anizidi
4- Awe anajishughulisha na sio kunywa dadii tu
5- Dini tuwe tunaabudu dini moja
6- Umbo sio kigezo kwangu
7 -UKIWA NA SIFA TAJWA PM me
 
Mchaga wa rombo ,,,,,
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…