Rey leonard
Member
- Dec 18, 2016
- 70
- 38
Mungu akutimizie hitaji la moyo wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akifuata ushauri wako niko hapa namsubiriaOlewa na Mhaya uzae watoto wazuri. 😀
HelloMume hupatikana popote hata sokoni
Sifa zangu ni hizi
1- Hofu ya Mungu
2-Mchaga wa rombo
3- Umri 25-29
4-Sijaajiliwa naungaunga na vbiashara vidogo
5- Sijawahi KUOLEWA.
6- Elimu ninayo ya ualimu
7- Dini: Mkristo mkatoliki
8- Umbo: Mimi sio pisi Kali ,ni size, sio mrefu Wala mfupi ni wa kawaida sio mnene .
Sifa za mume mtarajiwa
1- Amuogope MUNGU afanyapo maovu
2- Akiwa mchaga mwenzangu(hata akiwa nje ya nchi) itapendeza zaidi ila na wengine mnakaribishwa
3- Umri anizidi
4- Awe anajishughulisha na sio kunywa dadii tu
5- Dini tuwe tunaabudu dini moja
6- Umbo sio kigezo kwangu
7 -UKIWA NA SIFA TAJWA PM me