wanaume tumekuwa deal siku hiziNatumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Kugegeda kote huko hujapata hata mmoja? Lol
Du bora wewe mm nina 67yrs hatanikubali, na naogopa hajaweka vigezo vya umri Elimu, urefu, umri
Bora usimpe ushauri wako! maana nani kakwambia mapenzi yana ukomo kwa misingi ya umri! miaka 40 bado ana hisia za kuwa na mwenza!
asante kwa kumjibu mzee wa rula
owk! naona hajui kuwa mwanamke akifikia 40yrs ndo anakuwa technically fit and perfect!
naomba match kujua kama upo fit 6 kwa 6Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Wewe ni bikra? Mm natafuta mchumba bikra sijali hata akiwa na watoto wanne.
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
yupo na tayari ana familia yake tangu mwanzo sipo nae
Kwanza awali ya yote umefanya uamuzi mzuri dada wa kutafuta umpendae ni kitu sahihi kabisa mimi nakuombea kwa mungu upate mume mzuri na mcha mungu lakini na wewe urudi nyuma uchunguze matatizo uliyonayo ama ya kitabia au mengineyo ambayo yalipelekea mkaachana na baba mwenye mtoto ili utakayempata hapa JF asije tena kukuacha kwa matatizo yasiyo na mantiki huuu ni ushauri tuNatumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Sa mbona umechelewa sana nawe kutafuta mume...kuna lolote lililotokea hapo kati tunalopaswa kujua kabla hatujajitosa? By the way...am single with one son, mid 30s!