Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,079
Kwa explanation yake, inaonyesha alizaa na mume wa mtu...sasa hapo akina dadaz ndo tunakosea.
Hamzai peke yenu lakini...kwa nini wakosee wakina dada tu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa explanation yake, inaonyesha alizaa na mume wa mtu...sasa hapo akina dadaz ndo tunakosea.
Hamzai peke yenu lakini...kwa nini wakosee wakina dada tu?!
Kama kutafuta tenda ya kujenga soko!siku kutafuta mwenza imekuwa sawa na kutafuta nyumba ya kupanga. Mwee
Usijali aunt yangu hakuna limit ya umri wa kuolewa,endelea kumuomba mungu atakupatia wa kukutuliza moyo.Msalimie sana mtoto wako na endelea kuwa mama mwema
Natumaini wote ni wazima
nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama
wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina
40yrs.