Kwa explanation yake, inaonyesha alizaa na mume wa mtu...sasa hapo akina dadaz ndo tunakosea.
Hamzai peke yenu lakini...kwa nini wakosee wakina dada tu?!
Kama kutafuta tenda ya kujenga soko!siku kutafuta mwenza imekuwa sawa na kutafuta nyumba ya kupanga. Mwee
Usijali aunt yangu hakuna limit ya umri wa kuolewa,endelea kumuomba mungu atakupatia wa kukutuliza moyo.Msalimie sana mtoto wako na endelea kuwa mama mwema
Natumaini wote ni wazima
nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama
wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina
40yrs.