Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
View attachment 2940731
Mwaka wa kumi bado anategemea mshahara wa mwanamke? Ingekuwa bora atafute kazi au amuazime mke wake mtaji aache uboya.Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Mungu ambariki huyo mke...wengine mshahara ukikata tu unaanza kusimangwaInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Hakuna ndoa hapo ni heri akubali kupata maumivu mapema kabla ajateseka sana yeye aachane nae kwasababu hawaendani mwanamke akishakuzidi kipato imeisha io kwa dunia ya leo hawezi kukuheshimu.Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
View attachment 2940731
Huyo shemeji yetu hana mdogo wake anisogezee 😁😂, hao wake ndo tunawatafuta sisi storo wei 🤣Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Labda alifutiwa vyetiMwaka wa kumi bado anategemea mshahara wa mwanamke? Ingekuwa bora atafute kazi au amuazime mke wake mtaji aache uboya.
Kama upendo wenu umebase kwenye mentality ya kwamba mume anatakiwa awe na mshahara mkubwa kuliko mke basi hapo mapenzi hayatakuwepo.Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
View attachment 2940731
inategemea ntu na ntuSalary ni siri ya mtu.
Ashajaribu biashara kibao zikafaili maana alipofukuzwa alikuwa na pesa ya kuanzisha miradi lakini aliingia kichwa kichwa akachoma zaidi ya mil 100 alizokuwa nazo. Ashajaribu biashara kibao na bado anajaribu but msimamia show ni mkeweMwaka wa kumi bado anategemea mshahara wa mwanamke? Ingekuwa bora atafute kazi au amuazime mke wake mtaji aache uboya.
Last born. Wakati anamuoa tulidhani kapotea maana mke mwenyewe pisi kali amekaa kaa kiwizi wizi. Sema kumbe ni mke safiHuyo shemeji yetu hana mdogo wake anisogezee 😁😂, hao wake ndo tunawatafuta sisi storo wei 🤣
Labda alifutiwa vyeto
Yangu yameshikwa na mkojo ha ha haKama upendo wenu umebase kwenye mentality ya kwamba mume anatakiwa awe na mshahara mkubwa kuliko mke basi hapo mapenzi hayatakuwepo.
Inategemea ninyi wawili mapenzi yenu yameshikwa na kitu gani