Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣warrant ya miaka kumi mkuu! Palina unakubali kuwa na kibabu?Wacha MADHEREU hakuna mbabu sisi miaka tu ndio imesogea, ila nguvu akili, mikiki, patashika nguo kuchanika ni bado baro baro kabisa.
We mjaribu asipokunogea, mrudishe tutakupa kidume kingine 😂
Huyu ana warranty ya miaka 10. JERMAN MASHINE hii 😂
Hiyo bi maryam mkristo ndio nimeishia hapoJina: Bi Mariam
Dini: Mkristo
????
Asiwe Mchanga: Mbona nasikia wachaga wana maokoto! Au unaogopa kufanywa msukule?
Single mother katika ubora wako.
Sifa za kibaguzi,na sisi wengine tusio na shahada tuna haki ya kupata utelezi wa single mama's
Be a real man.Dah ubao unasoma 1-0! Hapana kwa kweli. Na hiyo miaka 34 kwa wastani wahuni kama 50 hivi na zaidi pengine watakuwa wameshananii. Acha nitafute kitoto cha 2000.
Mkristu mwenye mtoto nje ya ndoa ni mzinzi. Inashangaza Bi. Mariam anatafuta mume mzinzi aliye serious [emoji23][emoji23].
Mambo yapo kasi sana.
Mbona hujibu pm
Ni wakongwe wanaona haya kutumia zile ids kongwe ambazo hujimwambafy nazo[emoji23]
Mzinzi anatafuta mzinzi mwenzio..
Shida hakuna
Kwa hizi sifa zako inabidi upate Mwanaume aliyefiwa na mkewe na awe na watoto wanne
Uko tayari kwenda na Mimi Bi Mariam??Kwa upande wangu nimelipokea,,,kulisoma,,na kulitafakari kwa kina mnoo takwa lako,,Nipo tayari kuindeleza safari nawe!!tuwasiliane pm,,labda tunaweza pata wasaha wa kufahamiana zaidi na hatimaye kujuana zaidi kama hutojali lakini Bibiee Mariam.
Tako huwa lina kazi gani [emoji15]
Haikuwa lengo langu hilo, nilichojibu ni kuwa naqe watafuta mwenye mtoto ao hakuna tatizoJe huna dhambi wewe, basi kua wa kwanza kunitupia jiwe, bear in mind dhambi zote ni sawa, tutubu na kuiamini injili, Asante.
Eli vyeti ulimuhonga nani?Sisi darasa la saba haututaki?
Ni kweli kila bidhaa ina soko lake pia ina bei yake. Unapopanga bei ya bidhaa inatakiwa iendane na quality ya bidhaa husika.
Vigezo vyako viendane na your Sex Market Value.
Miaka 33 plus mtoto juu your SMV is diminished. kusema nataka mwenye hiki na kile iyo nafasi hauna tena competition ni kubwa.
Wengi ni members wa siku zote lakini kwa sababu wanazojua wao, wanaona ni vizuri kufungua ID mpya. Pia kuna wanaume wanaojifanya ni wanawake.Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Daah wewe ni Mkinga wa Makete?