Mume anatafutwa

🤣🤣warrant ya miaka kumi mkuu! Palina unakubali kuwa na kibabu?
 
Bi mariam5 kaka yangu ni la saba na ameajiri mwenye degree ila mwaka huu ananunua uDokta nikulengeshee?
 
Dah ubao unasoma 1-0! Hapana kwa kweli. Na hiyo miaka 34 kwa wastani wahuni kama 50 hivi na zaidi pengine watakuwa wameshananii. Acha nitafute kitoto cha 2000.
Be a real man.
Real men don't fear dating or marrying women older than them.
An older woman is mature, Isn't she?
She slept with every man & is now tired & ready to settle. She can't disturb you.
She will treat you with love just like your mother.
 
Mkristu mwenye mtoto nje ya ndoa ni mzinzi. Inashangaza Bi. Mariam anatafuta mume mzinzi aliye serious [emoji23][emoji23].

Mambo yapo kasi sana.

Kama huna dhambi naomba uwe wa kwanza kunitupia jiwe, hakuna mkamilifu chini ya jua. Niambie mtakatifu wewe unasubiri nini duniani, tangulia mbinguni Asap
 

Karibu sana PM, ni heshima kubwa sana kwangu kusikia haya kutoka kwako[emoji1545]
 
Je huna dhambi wewe, basi kua wa kwanza kunitupia jiwe, bear in mind dhambi zote ni sawa, tutubu na kuiamini injili, Asante.
Haikuwa lengo langu hilo, nilichojibu ni kuwa naqe watafuta mwenye mtoto ao hakuna tatizo
 

Your so bitter, acha ku judge kwa mtazamo wako pekee, kila mtu ana taste yake, competition is everywhere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…