Mume anatafutwa

Mume anatafutwa

Wa mtandaoni ndio hawa hawa wa mtaani, matapeli mtandaoni wapo na mtaani wapo, ne smart.
Ganda la muwa la jana, chungu kaona kivuno. Huenda kuna chungu wako hapa jf atakuona. Nisikusagie kunguni.
Screenshot_20240209_175701_com.google.android.googlequicksearchbox_edit_2256466635081205.jpg
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Umejoin leo leo ili upate mume asiye mchaga hapa jf? Naona bado hujaijua jf kuwa ni mali ya wachaga 😂😂
 
Yaani una degree na kuendelea ila Huwezi kubainisha vitu Muhimu kama hivi.
Ulipaswa uandike Kimo chako pia
Ww ni Mfupi au mrefu ? Rangi yako'. Unaweka kimo chako na Cha huyo unaye mtafuta awe na kimo kipi na rangi iweje.
Kuhusu wachagga sishangai Maana Nimekutana na warembo wengi wanasema hawataki wachagga kumbe ni gia tu ya kuweza Kumchambua mchagga og.
Moyoni wanapenda wachagga...Nimeshudia Hilo.
 
Be a real man.
Real men don't fear dating or marrying women older than them.
An older woman is mature, Isn't she?
She slept with every man & is now tired & ready to settle. She can't disturb you.
She will treat you with love just like your mother.
Dude..is this supposed to be a compliment?
 
Kama huna dhambi naomba uwe wa kwanza kunitupia jiwe, hakuna mkamilifu chini ya jua. Niambie mtakatifu wewe unasubiri nini duniani, tangulia mbinguni Asap
[emoji16][emoji16] aende mbinguni kufanya nini wakati Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani?
 
Tafuta wa hadhi yako
Hiyo unayoita hadhi ingekuwa inasaidia sasa hivi ungekuwa tayari unae wa hiyo "hadhi" yako na wala usingeingia kwenye aibu hii unayopata sasa baada ya kuona umechakazwa vya kutosha na siku zinazidi kusonga sasa umeamua kujinadi,pole sana.
 
Back
Top Bottom