Bi mariam5
Member
- Feb 9, 2024
- 83
- 98
- Thread starter
- #181
Naona km unavyoona wewe hapo we unaonaje?
Makengeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona km unavyoona wewe hapo we unaonaje?
Kufirwa
Nipo Dodoma_Kisasa,miaka53ukiniona kama Nina miaka 22!Karibu
All the Best
Ananinyima sana usingizi 😀Ukimgusa huyu uendi mbinguni!
Nampenda pia kijana wetu hapo,Mungu amsaidie awe na afya njemaAsante, nakupenda pia.
Cheti cha kipaimara kipo, cha kuzaliwa kipo, na darasa la saba kipo pia. Hapa wanahitajika waliofika "mlimani". Mimi niliishia kwenye magazijuto!Eli vyeti ulimuhonga nani?
Simu hizi na huu uzee namaanisha Mkinga sio Mjinga Ila hii simu ili auto save Mjinga ika pop up, sorryMimi sio mjinga, kwani wewe ni bwege wa wapi?
Ganda la muwa la jana, chungu kaona kivuno. Huenda kuna chungu wako hapa jf atakuona. Nisikusagie kunguni.Wa mtandaoni ndio hawa hawa wa mtaani, matapeli mtandaoni wapo na mtaani wapo, ne smart.
Cha Kliniki pia kipo?Cheti cha kipaimara na kipo, cha kuzaliwa kipo, na darasa la saba kipo pia. Hapa wanahitajika waliofika "mlimani". Mimi niliishia kwenye magazijuto!
Umejoin leo leo ili upate mume asiye mchaga hapa jf? Naona bado hujaijua jf kuwa ni mali ya wachaga 😂😂Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kumbe Kliniki pia wanatoa vyeti? Au na penyewe nilifeli?Cha Kliniki pia kipo?
Red flag🚨! Hukuweza kumvumilia na kumwambia ajitume kazini?Alikua marioo nimemtoa nduki
Kubwa kwa kigezo kipi? Kuhisi kwamba mleta mada si mgeni humu au?Akili yako ni kubwa sana mkuu.
Dude..is this supposed to be a compliment?Be a real man.
Real men don't fear dating or marrying women older than them.
An older woman is mature, Isn't she?
She slept with every man & is now tired & ready to settle. She can't disturb you.
She will treat you with love just like your mother.
[emoji16][emoji16] aende mbinguni kufanya nini wakati Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani?Kama huna dhambi naomba uwe wa kwanza kunitupia jiwe, hakuna mkamilifu chini ya jua. Niambie mtakatifu wewe unasubiri nini duniani, tangulia mbinguni Asap
Basi akili yangu ndio imekuwa ndogo nadhani.Kubwa kwa kigezo kipi? Kuhisi kwamba mleta mada si mgeni humu au?
Hiyo unayoita hadhi ingekuwa inasaidia sasa hivi ungekuwa tayari unae wa hiyo "hadhi" yako na wala usingeingia kwenye aibu hii unayopata sasa baada ya kuona umechakazwa vya kutosha na siku zinazidi kusonga sasa umeamua kujinadi,pole sana.Tafuta wa hadhi yako
Wapi nimeandika hayo uliyoandika Bi Mariam?Kama huna dhambi naomba uwe wa kwanza kunitupia jiwe, hakuna mkamilifu chini ya jua. Niambie mtakatifu wewe unasubiri nini duniani, tangulia mbinguni Asap