Mume HIV+ anahitajika

Mume HIV+ anahitajika

Safi sana kila MTU angekua jasiri pasingekua na tabu maana +ve angetoka na mwenzio wake na- pia angetoka na mwenzie tatizo humu kila mmoja anajiona innocent kwamba kuonekana ana+ve cjui atakuaje,big up love mungu akupe hitaji la moyo wako

Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana kila MTU angekua jasiri pasingekua na tabu maana +ve angetoka na mwenzio wake na- pia angetoka na mwenzie tatizo humu kila mmoja anajiona innocent kwamba kuonekana ana+ve cjui atakuaje,big up love mungu akupe hitaji la moyo wako

Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Thantee
 
Awe muislam au alie tayari kuwa muislam, umri miaka 28-32, awe tayari kwa ndoa kwa aliye serious, aliye na nia na vingine nilivyotaja aje pm, coz sitazungumza chochote zaidi kwenye thread siku njema.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
duh yataka moyo, usijali watakuja kumalizana na wewe huko huko inbox
 
Back
Top Bottom