mim hapa ila nipo negative upo tayar kuwe tunatumia kinga kila siku tukitaka mtoto tutatoboa ndom siku ukiwa siku ya hatat tukamlie ndanNatumai mna wakati mwema wapendwa!
Mimi ni bint mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia rizki.
Kwa aliyeguswa karibu PM
Kuna muda use** tukiuacha tutaweza kuvuka dimbwi la umasikin na maradhi na ujinga salamamim hapa ila nipo negative upo tayar kuwe tunatumia kinga kila siku tukitaka mtoto tutatoboa ndom siku ukiwa siku ya hatat tukamlie ndan
Shida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya kukataliwa kisa tu niko hivi wakati mwanzo nilikuwa muwazi na tulikubaliana vizuri.mim hapa ila nipo negative upo tayar kuwe tunatumia kinga kila siku tukitaka mtoto tutatoboa ndom siku ukiwa siku ya hatat tukamlie ndan
Pole sana Mrembo.Shida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya kukataliwa kisa tu niko hivi wakati mwanzo nilikuwa muwazi na tulikubaliana vizuri.
njoo Pm kama tujuzane mengShida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya kukataliwa kisa tu niko hivi wakati mwanzo nilikuwa muwazi na tulikubaliana vizuri.
Natumai mna wakati mwema wapendwa!
Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.
Kwa aliyeguswa karibu PM