chakor
Member
- Jan 19, 2017
- 68
- 89
Natumai mna wakati mwema wapendwa!
Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.
Kwa aliyeguswa karibu PM
Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.
Kwa aliyeguswa karibu PM