Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 471
duh nashkur Kwa kufnguka ngoja waje wahusikaaNatumai mna wakati mwema wapendwa!
Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.
Kwa aliyeguswa karibu PM
uliupata lini dadang?Natumai mna wakati mwema wapendwa!
Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.
Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.
Kwa aliyeguswa karibu PM
Swali la muhimu ni kujua kama anameza dawa kwa usahihi ili viral load ishukeuliupata lini dadang?
Hajielewi huyo anaweza akatangulia.hivyo asikukatishe tamaaShida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya kukataliwa kisa tu niko hivi wakati mwanzo nilikuwa muwazi na tulikubaliana vizuri.
mim hapa ila nipo negative upo tayar kuwe tunatumia kinga kila siku tukitaka mtoto tutatoboa ndom siku ukiwa siku ya hatat tukamlie ndan
Acha dharauuliupata lini dadang?
Dharau ganAcha dharau