Mume HIV+ anahitajika

Mume HIV+ anahitajika

Natumai mna wakati mwema wapendwa!

Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.

Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.

Kwa aliyeguswa karibu PM
duh nashkur Kwa kufnguka ngoja waje wahusikaa
 
Natumai mna wakati mwema wapendwa!

Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu.

Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya Mungu na awe na shughuli yoyote ya kujipatia riziki.

Kwa aliyeguswa karibu PM
uliupata lini dadang?
 
Dada hongera kwa ujasiri. Mie kitengo cha huduma. Watu wa aina yako ni wengi na wanaolewa. Na kuna ndoa nyingi a watu ambao ni concordant na wengine nindiscordant couples. Mme utapata kabisa.
 
Dada meza dawa inavyotakiwa. Yaani proper adherence ubaki mwenye afya njema.....viral load ishuke.....cd4 zipande basi. Na wewe ni muelewa sana maana ukiamua kumuambukiza mtu unaweza sana tu. You need our support. Taja umri wako tu.
 
Nimeguswa, ipo tiba ya ugonjwa wako. Kama utahitaji tuwasiliane
 
Dah! Kweli safari bado ni ndefu maishani ! Wanaadamu tuzidisheni maombi kwa mola atufanyie wepesi kwenye Yale tunayohitaji !
 
Shida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya kukataliwa kisa tu niko hivi wakati mwanzo nilikuwa muwazi na tulikubaliana vizuri.
Hajielewi huyo anaweza akatangulia.hivyo asikukatishe tamaa
mim hapa ila nipo negative upo tayar kuwe tunatumia kinga kila siku tukitaka mtoto tutatoboa ndom siku ukiwa siku ya hatat tukamlie ndan
 
Back
Top Bottom