- Thread starter
- #81
Duh๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ingia tu, wewe mwenyewe mme wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ingia tu, wewe mwenyewe mme wa mtu
Labda simu inanisumbua kutumia, sijaona lbda.Lazima niulize maana ni m-pm sana mpaka nimechoka. Hata text zangu hajibu
Inawezekana kabsa popote duniani.ila ufate maelekezo utayopewa kikubwa ufate.note usifanye bila kuwaona madaktar au watoa huduma za afya
AmiinaMungu akupe haja ya moyo wako.
We umepata??Hujapata mpaka leo?
Yeah najua kama inawezekana ila naona ni muhim kuwa na mtu anayefanana na ww kiafya kwa sababu inasaidia zaid kuwap faraja coz wote manakua na uhalisia wa nin mnachopitia.. kuliko akiwa mmoj wenu yupo vzr.Inawezekana kabsa popote duniani.ila ufate maelekezo utayopewa kikubwa ufate.note usifanye bila kuwaona madaktar au watoa huduma za afya
Maan upo vzr tu.We umepata??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha hizo mkuu, Dada yupo serious ujueWeka picha....kama chura ipo watu tunajilipua tu itafahamika huko tukishaukwaa
Hata mimi niko serious ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha hizo mkuu, Dada yupo serious ujue
We pia chura unae nna kaka angu pia anatafuta mwanaume mzuri wa kumuoa mweny chura.. hamia huko.Weka picha....kama chura ipo watu tunajilipua tu itafahamika huko tukishaukwaa
Ila naye yupo harsh soma alivyomjibu Hence hapo. Not good at all[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha hizo mkuu, Dada yupo serious ujue
Chura ndo muhim kwa mujibu wake, ndo mana nikamuuliz na yeye kaka angu anaye kwan kuna ubaya??Ila naye yupo harsh soma alivyomjibu Hence hapo. Not good at all
Ha ha ha haa hence achan nae,, tunajuan ni utan wetuu tuu.Ila naye yupo harsh soma alivyomjibu Hence hapo. Not good at all
Mbona namb barazan hivii duh0676867486 naomba unipigie
Safari ya kwenda wapi tena.Kaishia kati hapo alishaanza safari[emoji41][emoji41]