Mume HIV+ anahitajika

Inawezekana kabsa popote duniani.ila ufate maelekezo utayopewa kikubwa ufate.note usifanye bila kuwaona madaktar au watoa huduma za afya
Yeah najua kama inawezekana ila naona ni muhim kuwa na mtu anayefanana na ww kiafya kwa sababu inasaidia zaid kuwap faraja coz wote manakua na uhalisia wa nin mnachopitia.. kuliko akiwa mmoj wenu yupo vzr.
 
Kaishia kati hapo alishaanza safari[emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…