mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Fursa ya nini#mabaria mko wapi huku fursa ya mwaka jana hii
Amiina in sha allahUtapata Inshallah
Nina miaka 27,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
AsanteKila lakher
Kuna hadi at 1 day au hujawah ona wala kusikia.duh at 27 tayar HIV+!? aisee
Eti ehmimi ni mzima wa afya, lakini nimeamua kujilipua kua nawewe, kama unaweza ni PM
Kuna hadi at 1 day au hujawah ona wala kusikia.
Acha tu.Ni zero brain anatapika
Hiyo alama ya jumlisha imewakimbizaWazee wa fursa Leo sijui wako wap
Where ha ha haaaaCheck me
Walikuambia okay, sawa.Hiyo alama ya jumlisha imewakimbiza
Inshaaallah kheri hio na alaf mabroq utakaye mpata