Ulikuwa hujaamua mimi Nile leo😩😩Kukuita kijana imekuwa nongwa?Kwani wewe ni mzee?Nilikuwa nimeshakuandalia kuku wangu ila sasa hivi nawala wote,sikupi tena![emoji6][emoji6][emoji6]
mtu anayetumia arv kwa usahihi kwa wiki 3 mpaka 6 hana uwezo wa kuambukiza mtu mwingine.Hongera kwa kuwa muwazi na kutotaka kuambukiza wengine kwa lazima.
Mnaotumia ARV kwa kujificha na kutembea na wasio na maambukizi makusudi MUNGU ANAWAONA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fala kwel...ila ngoja nimfuate pm nijivishe tu mabomuVipi Hazard CFC ndugu hujaqualify hapa[emoji16][emoji16]...
🤣🤣🤣🤣 usisahau kuleta ushuhuda kwa maslahi ya mabaharia wote jamvini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fala kwel...ila ngoja nimfuate pm nijivishe tu mabomu
Nin 23Samahani sijaelewa umri wako huo....
Ko saiv una mingapi?
Au inaenda hivi Asubuhi-22
Mchana 23
Usiku 24.
HahahahaVipi kuhusu hali yako nyamanyama bado zipo au ushafikia kama Wema Sepenga nijibu nione najifunga vipi makombora.
Nin 23Umri wa mtu uwezi kuwa 22 mpk 24, anazingua huyo...haeleweki
Me ni msichana jamanHebu hapo kwenye kijana weka kabisa jinsia yako.maana binafsi naona maelezo haya Ja kuwa clear.edit kidogo.
Vinginevyo...Mungu akutangulie ndugu yangu upate hitaji la moyo wako.Amen
Nin miaka 23Umri wako tu umeniacha hoi dada!
Yes.kijana anaweza kuwa wakike au wa kiume.so kama ni mwanamke weka wazi.Me ni msichana jaman
[emoji1787][emoji1787] kivipi yaniUngesema tu unahitaji mume ingetosha,hiyo HIV positive inakuja yenyewe otomatikali