Mume HIV positive anaitajika

Kukuita kijana imekuwa nongwa?Kwani wewe ni mzee?Nilikuwa nimeshakuandalia kuku wangu ila sasa hivi nawala wote,sikupi tena![emoji6][emoji6][emoji6]
Ulikuwa hujaamua mimi Nile leo😩😩
Basi nafuta kauli kijana mwenzangu..

Haya kaweke kuku kule muda ukifika😋😋
 
Hongera kwa kuwa muwazi na kutotaka kuambukiza wengine kwa lazima.
Mnaotumia ARV kwa kujificha na kutembea na wasio na maambukizi makusudi MUNGU ANAWAONA
mtu anayetumia arv kwa usahihi kwa wiki 3 mpaka 6 hana uwezo wa kuambukiza mtu mwingine.
 
Hebu hapo kwenye kijana weka kabisa jinsia yako.maana binafsi naona maelezo haya Ja kuwa clear.edit kidogo.

Vinginevyo...Mungu akutangulie ndugu yangu upate hitaji la moyo wako.Amen
Me ni msichana jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…