AmenMungu akupe hitaji la moyo wako.
Utapata nami ntasaidia kukutafutiaJamani naelekea kukata tamaa..ivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmja mwanaume ambaye anahitaji familia???uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu...nikupikie chakula kizuri...nipambe nyumba yetu nzuri kwa mauwa...tuwe na aman na tupendane...
Kigezo kigumu hichiJamani naelekea kukata tamaa..ivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmja mwanaume ambaye anahitaji familia???uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu...nikupikie chakula kizuri...nipambe nyumba yetu nzuri kwa mauwa...tuwe na aman na tupendane...
Haujaeleweka bado unampelekea Moto?Mm. Nina mpenzi HIV positive, wakati Mimi na naona nashindwa kumuacha. Nampenda sana.
Hongera kwa kupima na kuijua afya yako... Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki afu nikokotwe na katapila la Manispaa ya Kinondoni...Jamani naelekea kukata tamaa..ivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmja mwanaume ambaye anahitaji familia???uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu...nikupikie chakula kizuri...nipambe nyumba yetu nzuri kwa mauwa...tuwe na aman na tupendane...
Happy New Year kipenziAll the Best
Happy New Year kipenziAll the Best
Happy New Year kipenzi
Haya sawa vizuri we endelea kumpelekea motoNdiyo nampelekea moto
Akiwa anakula dozi kikamilifu hawez kumuambukizaHaya sawa vizuri we endelea kumpelekea moto