menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Ndo maana hua nasisitiza watu wawe wakweli kuhusu mambo yanayoweza kuinfluence maamuzi ya wenza wao au yanayoweza kuwaumiza!!Sijui hata nishauri nibu maana sijui ingekua mimi ingekuaje!!Pole yao..,,,
Kweli Lizzy ukweli tu ndo dawa,huyu jamaa angesema ukweli b4 dada wa watu angeamua mbivu au mbichi....:sleepy:
jamani okoeni hii ndoa wanajamvini...Huyu dada kaolewa miaka 6 iliyopita lakini wakati anaolewa alimkuta mumewe kashajijenga kwa mali nyingi ijapokuwa sio saana! Mumewe kiufupi kwenye 6*6 anajiweza.Tatizo ni huyu bwana huko nyuma alikuwa anafanya kazi ya ubaharia ambayo ndo imempa hizo mali lakini kumbe moyoni ametunza siri yake na ameona amwambie mkewe kuwa aliwahi kufanyiwa usodoma na ma capten wa meli sasa dada kachanganyikiwa wakiwa faragha hana hamu kabisa na mumewe.Ushauri tafadhali.
Kwa mwanamke ku admit alifanya usodoma ni rahisi kuliko mwanamme...
kuna sababau kaamua kumwambia hivyo mke wake - labda anataka wife
anondoke but sijaona sababu ya msingi ya yeye kumwambia the wife kama
yalitokea huko nyuma na hafanyi tena... itakua anaji emasculate... na NO
man anataka kufanya hivyo in front of his woman...
Kwanza nashangaa hata huyo dada kukusimulia.. hio ni issue nzito saana
ambayo maamuzi yoyote yatayochukuliwa ilitakiwa iwe kati yao wawili
kutangaza mumeo kisha wahi fanya hivyo.. unaongozana nae vipi njiani??
kwa kweli Asha D im in love with you,una mabusara sana,
mim pia nilijiuliza why on earth amueleze mkewe hayo mambo yaliyopita,mim nina hofu kuwa huyu mume bado ana huu mchezo,anataka hata mkewe akiyasikia aseme hayo ni yale mambo ya zaman.Au kama ulivyosema anataka mkewe ajue,au kwa vile wanaume wenye tabia hizo ni wagonjwa wa akili usikute anajaribu kutaka kumshirikisha mkewe ktk huo mchezo,maana kuna mtu nasikia ndo michezo yake lkn ameoa hivyo wana bwana mmoja wanafanya nae threesome.
kwa kweli Asha D im in love with you,una mabusara sana,
mim pia nilijiuliza why on earth amueleze mkewe hayo mambo yaliyopita,mim nina hofu kuwa huyu mume bado ana huu mchezo,anataka hata mkewe akiyasikia aseme hayo ni yale mambo ya zaman.Au kama ulivyosema anataka mkewe ajue,au kwa vile wanaume wenye tabia hizo ni wagonjwa wa akili usikute anajaribu kutaka kumshirikisha mkewe ktk huo mchezo,maana kuna mtu nasikia ndo michezo yake lkn ameoa hivyo wana bwana mmoja wanafanya nae threesome.
Siyo lazima iwe hivyo. Huenda jamaa anafeel guilty sana na anataka peace of mind. The only way ya kuwa na peace of mind ni kueleza tatizo linalokusumbua na jamii ikupe moyo na ushauri. Labda kama jamaa anaendelea ni kesi nyingine.