menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
jamani okoeni hii ndoa wanajamvini...Huyu dada kaolewa miaka 6 iliyopita lakini wakati anaolewa alimkuta mumewe kashajijenga kwa mali nyingi ijapokuwa sio saana! Mumewe kiufupi kwenye 6*6 anajiweza.Tatizo ni huyu bwana huko nyuma alikuwa anafanya kazi ya ubaharia ambayo ndo imempa hizo mali lakini kumbe moyoni ametunza siri yake na ameona amwambie mkewe kuwa aliwahi kufanyiwa usodoma na ma capten wa meli sasa dada kachanganyikiwa wakiwa faragha hana hamu kabisa na mumewe.Ushauri tafadhali.