Mume: Kajala nitoe jela

Wapendwa sidhani kama Kajala atafurahia kumtoa Mumewe. Ila jamaa avumilie angalau miaka 2 atoke kwanza kashazoea saa hizi. Kajala atakimbia nchi nyie subirini tu. S.henzi sana huyo B.i.t.c.h!
 

Binam punguza hasira,
Pengine labda anamjali ila kwa siri!!
 
Hakuna Lisilo wezekana chini ya jua,kama keli anampenda mumewe angeomba angejitahidi na mwenyewezi mungu angemsaidia,lakini nia yenyewe hana Hakumuona Wema alomtoa jela wa mana atamuona mume? asubiri Radhi ya mume na yeye..............sifa tuu isokua na maana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…