Mume kamganda mchepuko miaka takriban 5

Mume kamganda mchepuko miaka takriban 5

Huyo rafiki yako ajievakuate wapi anakosea na kusababisha mume atoke nje!
Au ndio kama wanavosema ni nature yao ???[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Aache ujinga, mganga wa nini? Tafuta kipoozeo kinakwangua hamu zote, ukirudi nyumbani busy na mapambio tu na wanao. Kuwa busy na kazi, tafuta hela kwa bidii zote, lea watoto wako.
 
Mganga wa nini

Ina maana miaka yote 5 hatongozwi

Muda huu alitakiwa awe na mwanaume wa ukweli alomzidi mumewe hadi dhambi

Mwanamke u akuwaje na mwanaume mmoja? Baba yako huyo? Matokeo akiwa na mchepuko sugu unabaki kuwa single in marriage

Mwambie apoe mwanaume mwenginr...mwenye hela na anayesugua...akipewa show 2 tu za maana atasahau upuuzi wa waganga
Hakika.
 
KUROGA it's big NO akitaka kuharibu afanye hivyo.
Ajipende, Afanye ibada na Atafute Hela.
That's it
 
Mume amejihalalilshia kuchepuka ye amekaa hapo anasubir nini. Kama qnahudumiwq vzuri atafute ka kiben ten ka handsome boy kamliwaze hata kua na muda wa kumfikiria huyo mume wake.

Kila mtu ana moyo .
 
Back
Top Bottom