Fine Wine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 595
- 1,686
Anaomba ushauri afanyeje [emoji1787][emoji116]
Anonymous member.
Naomba kufichiwa jina
Nimeolewa ni mama wawa toto 2,
Naombeni ushauri wenu niko taabani nina huyo mchepuko wangu nampenda sana sana zaidi ya sana amekua akinitoa upwiru, mume wangu akiwa nje ya mkoa uko anapofanya kazi.
Yapita week 3 ma mkwe wangu kaja kunitembelea hapa nyumban nyumba inavyumba 4 kingine analala ma mkwe kingine watoto kingine binti wa kazi kingine chang na mume wangu.
So kama hivi mume wangu akiwa hayupo naingiza huyu mchepuko wangu sa nilivyo ona huyu mama anakawia kuondoka nikawa nawaamulu kulala mapema mwisho wa kuangalia kipind kwenye TV ni saa 3 wazime TV wakalale.
Sijali cha mama mkwe ama watoto, nimeishI hivyo nikiwafukuza tu nasikilizia kidogo ikifika saa 5 usiku mchepuko wangu namwingiza polepole.
Ukisikia za mwinzi 40 juz bwana kunaelekea kupambazuka ilikua saa 10 na dakka 20 nikamtoa mchepuko wangu aondoke ghafla tukakutana na mama mkwe wangu koridoni kavaa kanga alikua anaenda uwani,
Nilitetemeka nusu nipoteze fahamu mie mwenyewe nilikua kwenye night dress yule mama akatutolea macho akaanza kunitukana kumbe hii ndo tabia yako malaya mkubwa wewe mtoto wangu hakurizishi nini? Hakupi au ni nyege zinakuwasha alinitukana muda huo na mchepuko kasimama kashindwa kutoka.
Ghafla akasema kama unataka nisikusemee kwa mumeo namtaka namimi huyu kijana ili kulinda ndoa yangu nilimurihusu kijana aende na mama chumbani walitangulizana kule chumban anakolala ma mkwe.
Dakika CHACHE nikawa nasikia saut ya mama mkwe akilia sauti ya mahaba, muda huo mie nipo tu koridoni nasikiliza kama dakika 30 wakatoka kijana akaondoka, kilicho nileta hapa ni meseji mume wangu kanitumia imeandikwa
Kabla sijafika hapo nyumban nikukute ushaondoka kwenu watoto wang nichie kahaba mjaa laana wewe nisikukute nitakuuwa
Nisaidie jaman sina pa kwenda mimi, nisaidien kuniombea kwa mume wangu, mpaka sasa sijachukua uamuzi wowote namsubiri arudi. Mama mkwe kanigeuka maana hakuna mwingine wa kutoa tarifa hizo tofauti na yeye. Ule mchepuko hana mbele wala nyuma anaish kwa rafiki yake getho
Anonymous member.
Naomba kufichiwa jina
Nimeolewa ni mama wawa toto 2,
Naombeni ushauri wenu niko taabani nina huyo mchepuko wangu nampenda sana sana zaidi ya sana amekua akinitoa upwiru, mume wangu akiwa nje ya mkoa uko anapofanya kazi.
Yapita week 3 ma mkwe wangu kaja kunitembelea hapa nyumban nyumba inavyumba 4 kingine analala ma mkwe kingine watoto kingine binti wa kazi kingine chang na mume wangu.
So kama hivi mume wangu akiwa hayupo naingiza huyu mchepuko wangu sa nilivyo ona huyu mama anakawia kuondoka nikawa nawaamulu kulala mapema mwisho wa kuangalia kipind kwenye TV ni saa 3 wazime TV wakalale.
Sijali cha mama mkwe ama watoto, nimeishI hivyo nikiwafukuza tu nasikilizia kidogo ikifika saa 5 usiku mchepuko wangu namwingiza polepole.
Ukisikia za mwinzi 40 juz bwana kunaelekea kupambazuka ilikua saa 10 na dakka 20 nikamtoa mchepuko wangu aondoke ghafla tukakutana na mama mkwe wangu koridoni kavaa kanga alikua anaenda uwani,
Nilitetemeka nusu nipoteze fahamu mie mwenyewe nilikua kwenye night dress yule mama akatutolea macho akaanza kunitukana kumbe hii ndo tabia yako malaya mkubwa wewe mtoto wangu hakurizishi nini? Hakupi au ni nyege zinakuwasha alinitukana muda huo na mchepuko kasimama kashindwa kutoka.
Ghafla akasema kama unataka nisikusemee kwa mumeo namtaka namimi huyu kijana ili kulinda ndoa yangu nilimurihusu kijana aende na mama chumbani walitangulizana kule chumban anakolala ma mkwe.
Dakika CHACHE nikawa nasikia saut ya mama mkwe akilia sauti ya mahaba, muda huo mie nipo tu koridoni nasikiliza kama dakika 30 wakatoka kijana akaondoka, kilicho nileta hapa ni meseji mume wangu kanitumia imeandikwa
Kabla sijafika hapo nyumban nikukute ushaondoka kwenu watoto wang nichie kahaba mjaa laana wewe nisikukute nitakuuwa
Nisaidie jaman sina pa kwenda mimi, nisaidien kuniombea kwa mume wangu, mpaka sasa sijachukua uamuzi wowote namsubiri arudi. Mama mkwe kanigeuka maana hakuna mwingine wa kutoa tarifa hizo tofauti na yeye. Ule mchepuko hana mbele wala nyuma anaish kwa rafiki yake getho