Mume kufuliwa nguo za ndani na mkewe

Mbona hiyo makitu ni nguo tu kama nguo nyingine BADILI TABIA,kama unafua shati,suluari singlendi,bukta unachoshwa ni hiyo mini bukta?...au ndio ile dizaini ya kuanika pichu chumbani eti unaogopa kuanika kwenye jua nje...kisa cha kutafuta fungasi nini wakati tunanunua zikiwa zimetundikwa njee kweupeee na wamachinga wanatembeza mikononi,Nothing special with underwear bana khaa.
 
Last edited by a moderator:


'something about you makes you very special.'
if only wanawake woote wa ki Tz wangekuwa wanafikiria kama wewe
but then again haingekuwa special lol
 
Hahaha, babu najua hukutegemea jibu hili from me. Mie najua kulea babu, japo bhange zinanivuruga kichwa. Namfulia vyupi, namuosha miguu, I clean the bedroom myself, napika (strange eeh?) Ila sera za ki-beijing ni mwake mwake! Hujauza mbuzi before I approve or else...,

I used to tell my mom, let me do everything for you ili nikiondoka hapa kwako uliee! Well, nililia mie na kuona gap. So nikiwa sipo I am miss-able,lol
 
Last edited by a moderator:
Mimi wangu atafua suruali, mashati yangu lkn kufuri zake hawezi, mie ndo hurekebisha miaka yote hii ya ndoa, anaona raha sana nikifua so maisha yanaendelea!!
 
Mimi wangu atafua suruali, mashati yangu lkn kufuri zake hawezi, mie ndo hurekebisha miaka yote hii ya ndoa, anaona raha sana nikifua so maisha yanaendelea!!

Hahahha mkuu umetisha
 
Mi sijaoa ila mabinti ambao nakua na mahusiano nao nawatengenezea mazoea ya kufua
nguo zangu zote na hivyo sijawahi fua toka 2005 sasa kama nikioa sijui huyo nitakae muoa
atafua au atakua longolongo na hapo ndoa itakua shakani kutokana na mazoea
 

Huu uzi umenifanya nifurahi sana na kujihisi kama Babu wa Ukweli!!

Utaachaje kufurahi baada ya kusoma post za kuguza hisia kutoka kwa watu special kama King'asti na nyumba kubwa??

Nimeona hapo juu hata ndugu yangu The Boss katoa standing ovation kwa nyumba kubwa!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahha mkuu umetisha

Unajua Ndoa ni vile nyie mnaishi, usifuate sana sijui mwanaume anatakiwa awekwewe maji ya moto asubuhi, wewe miaka yote mtakayoishi wewe unawekewa maji tu si unamtesa mtoto wa watu bure. Mimi km nna nafasi namwekea mamsap wangu maji nenda kaoge, nikikuta taulo lake sijui linazagaa zagaa naliwekwa kwa omo nafua, room sijui wife hajarudi iko na vumbi napiga usafi kote, akirudi anafurahi akicheka mwenzie naanzisha mchezo, tukitoka hapo hakuna sijui mume wangu leo nimechoka! nisipokuwepo home saa mbili ntapigiwa simu mpaka nichanganyikiwe, wife na yeye anajiona ana mume. sasa wewe kariri tu eti mke wahi kutoka kazini, kaniwekee maji, akufulie kila kitu, room yenu adeki yeye, watoto wako akutunzie, yaani chaos zoooooooooooooooooooooooooooooooote yeye afanye, ndio maana humu utasikia mtu analalamika oooh wife siku hizi hanipi mchezo kila nikiomba eti kachoka, kweli mnawachosha, vile vikazi vidogo vidogo vinachosha kwa kweli. ANGALIZO na nyie akina mama mmeo km anakusaidia namna hiyo sio ndo umlazimishe, mwache afanye anapojisikia hapo heshima itakuwepo.
 


Duuuuuuuuuhhhhhhhhhhhh,

Upo mkuu Chimunguru??

Kazi nzuri...Keep it up!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mkuu DC
interesting thing ni kuwa hawa kina King'asti nyumbakubwa Kongosho ni
wanawake walioenda shule still
wako kiafrica zaidi inapendeza ...sana


Unajua nini mkuu...Ukisoma baadhi ya post za wadau na kufuatilia kwa muda...hutashangaa kukuta kwamba wanapinga baadhi ya mambo (wengine wanaita ya mfumo dume) halafu baadaye wanakuja kuyapigia upatu kupitia kwenye thread nyingine!

Utakuta baadhi wanapinga sifa za mwanamume au mwanamke wa Kiafrika ila ikitokea thread ambayo mwanamume analia lia au mwanamke kaonesha ujeuri, wanakuwa mstari wa mbele kumkomalia ili awe kwenye maadili ya Kiafrika...

Yaani ni raha sana kusoma hizi nyuzi..

Babu DC!!
 
Nipo Mkuu!!!


Ubarikiwe sana Kamanda na huyo mdao wako anayepigiwa deki na kufuliwa nguo amebarikiwa pia!!

Wenzio hatufui kabisa....ila siyo kwa sababu hatuwapendi sana wadau wetu!!

Babu DC!!
 

kumbe na wewe umewaona?
mimi huwa napata burudani sana
kuna threads mtu anavyoshambuliwa wakati
'mafunzo tunayatoa kila siku' na somo hawaelewi labda lol
 
Ubarikiwe sana Kamanda na huyo mdao wako anayepigiwa deki na kufuliwa nguo amebarikiwa pia!!

Wenzio hatufui kabisa....ila siyo kwa sababu hatuwapendi sana wadau wetu!!

Babu DC!!

Ahahahhaha tehe haya bwana kila mti na matunda yake!!
 
kumbe na wewe umewaona?
mimi huwa napata burudani sana
kuna threads mtu anavyoshambuliwa wakati
'mafunzo tunayatoa kila siku' na somo hawaelewi labda lol

Ndo maana nasema kuwa, kusoma posts za watu hapa JF ni burudani tosha...

Ngoja niendelee kucheza na wajukuu kidogo...lol!!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mi sijaoa ila mabinti ambao nakua na mahusiano nao nawatengenezea mazoea ya kufua
nguo zangu zote na hivyo sijawahi fua toka 2005 sasa kama nikioa sijui huyo nitakae muoa
atafua au atakua longolongo na hapo ndoa itakua shakani kutokana na mazoea

Mh...kumbe...
Sijui....labda....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…