Mume kumfuata Mke!!!!!!!!!

Mume kumfuata Mke!!!!!!!!!

TASLIMU

Senior Member
Joined
May 6, 2011
Posts
144
Reaction score
21
Msaada wana jamvi,mara nyingi kwa watumishi wa kike inakua rahisi kuhama kamfuta mume wake,kama wapo mbali kikazi.Je kama mume anataka kuhama amfuate mke wake je hizo taratibu zinasemaje??Naomba mnipe taratibu mimi(male)nataka kumfuata mke wangu.msaada msaada jamani
 
Msaada wana jamvi,mara nyingi kwa watumishi wa kike inakua rahisi kuhama kamfuta mume wake,kama wapo mbali kikazi.Je kama mume anataka kuhama amfuate mke wake je hizo taratibu zinasemaje??Naomba mnipe taratibu mimi(male)nataka kumfuata mke wangu.msaada msaada jamani
WEWE SI NDIE ULIOA MKUU??? WEWE SI NDIO ULIMTOA KWAO UKAMLETA KWENU AU NI KINYUME CHA HIVYO??
ACHA YEYE AKUFUATE BANA....HATA UKIWA PORINI NAMNA GANI NA AJE TU HAFUATI PORI BALI ANAKUFUATA WEWE.

LAKINI??.....Haya mambo ya kufuatanafuatana mbona yamepitwa na wakati mkuu?? chapa kazi hapo ulipo nae acha aendelee na kazi. akiweza ahamie kwako....AU WIVU MKUU???? UNAHISI JAMAA WANAKUTIME NINI??
 
Taratibu zinaruhusu unaandika barua kuomba kumfuata mkeo,kuna wengi tu nimeona wanawafata wake zao!
 
WEWE SI NDIE ULIOA MKUU??? WEWE SI NDIO ULIMTOA KWAO UKAMLETA KWENU AU NI KINYUME CHA HIVYO??
ACHA YEYE AKUFUATE BANA....HATA UKIWA PORINI NAMNA GANI NA AJE TU HAFUATI PORI BALI ANAKUFUATA WEWE.

LAKINI??.....Haya mambo ya kufuatanafuatana mbona yamepitwa na wakati mkuu?? chapa kazi hapo ulipo nae acha aendelee na kazi. akiweza ahamie kwako....AU WIVU MKUU???? UNAHISI JAMAA WANAKUTIME NINI??
Mkuu pamoja kum time wenzake,naona pia ufanisi unakuwa mdogo jamaa akiwa kazini.Lakini siku hizi haki sawa,sio mwanaume tu kufuatwa na mwanamke bali pia mwanamke anaweza kufuatwa na mwanaume kule aliko.
 
WEWE SI NDIE ULIOA MKUU??? WEWE SI NDIO ULIMTOA KWAO UKAMLETA KWENU AU NI KINYUME CHA HIVYO??
ACHA YEYE AKUFUATE BANA....HATA UKIWA PORINI NAMNA GANI NA AJE TU HAFUATI PORI BALI ANAKUFUATA WEWE.

LAKINI??.....Haya mambo ya kufuatanafuatana mbona yamepitwa na wakati mkuu?? chapa kazi hapo ulipo nae acha aendelee na kazi. akiweza ahamie kwako....AU WIVU MKUU???? UNAHISI JAMAA WANAKUTIME NINI??

how old are you?
kama hauna uhakika na unacho kisema usichangie.

kwanza kauli ya kumuoa au kumtoa kwao inaonesha wewe ni mwanaume wa aina gani.wameoana na sasa ni kitu kimoja.
kauli ya kufatanafatana kumepitwa na wakati pia umekosea-ndoa ni wawili kuwa pamoja we unajua madhara ya kila mtu kukaa mwenyewe?kimahusiano ata kiuchumi?

usipende kupotosha wenzio.je kama mama hawezi kuhama kazi na baba anaweza kwanini asimfuate?maana ukimfuata kumuoa tu umesha onesha kumuhitaji sasa kumfuata kikazi kuna shida gani.
 
how old are you?
kama hauna uhakika na unacho kisema usichangie.

kwanza kauli ya kumuoa au kumtoa kwao inaonesha wewe ni mwanaume wa aina gani.wameoana na sasa ni kitu kimoja.
kauli ya kufatanafatana kumepitwa na wakati pia umekosea-ndoa ni wawili kuwa pamoja we unajua madhara ya kila mtu kukaa mwenyewe?kimahusiano ata kiuchumi?

usipende kupotosha wenzio.je kama mama hawezi kuhama kazi na baba anaweza kwanini asimfuate?maana ukimfuata kumuoa tu umesha onesha kumuhitaji sasa kumfuata kikazi kuna shida gani.

Wewe kibaraka wa wazungu. Haki sawa ni kwa watu wasio wastaarabu. Mwanamke anatolewa mahali. Acha ujinga wa kizungu.

Mkuu acha mambo ya kufuata mke, utakuwa mtumwa, wanamatatizo hawa usiwaone2 hivi.

Fanya Kiume acha mambo ya haki sawa yatakupoteza kuwa na msimamo. Ikiwa vipi basi vipi, unamtema wanawake wapo wengi tu tena wenye heshima. Asikuzingue
 
Wewe kibaraka wa wazungu. Haki sawa ni kwa watu wasio wastaarabu. Mwanamke anatolewa mahali. Acha ujinga wa kizungu.

Mkuu acha mambo ya kufuata mke, utakuwa mtumwa, wanamatatizo hawa usiwaone2 hivi.

Fanya Kiume acha mambo ya haki sawa yatakupoteza kuwa na msimamo. Ikiwa vipi basi vipi, unamtema wanawake wapo wengi tu tena wenye heshima. Asikuzingue
Unamtema mke wako wa ndoa kisa uhamisho!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!? Upupu,kha!
 
tatizo wanaojibu ni watoto wadogo mkuu wewe kama vp mfuate mkeo bwana mimi mwenyewe I am about to do that, Hakika mkuu tupo wengi!
 
Wewe ni wale wale. kama vipi aache kazi. Wewe unajua MANENO YA MUNGU?
na tatizo jingine ndoa zinatofautiana kama wewe ni Muslim unaweza kuoa mwingine but sisi wakristo tunakubali kumfuata tuu.
 
tatizo wanaojibu ni watoto wadogo mkuu wewe kama vp mfuate mkeo bwana mimi mwenyewe I am about to do that, Hakika mkuu tupo wengi!
Wewe ni wale wale. Utaona baada ya mda.

Mimi mkuu nakuambia kwa roho saafi. Mimi mwenye nimekataa kumfuata yupo anafanya hapahapa
Mwanamke analipiwa mahali hivi umelisahau hilo? Kwann analipiwa mahali? acheni ujinga wa kizungu.
 
Andika barua ya uhamisho,ambatanisha cheti cha ndoa ni muhimu sana, so simple unahama
 
Acha uzoba!! mwananamke ndio anatakiwa kukufuata na siyo ww kumfuata mwanamke .........
 
Wewe kibaraka wa wazungu. Haki sawa ni kwa watu wasio wastaarabu. Mwanamke anatolewa mahali. Acha ujinga wa kizungu.

Mkuu acha mambo ya kufuata mke, utakuwa mtumwa, wanamatatizo hawa usiwaone2 hivi.

Fanya Kiume acha mambo ya haki sawa yatakupoteza kuwa na msimamo. Ikiwa vipi basi vipi, unamtema wanawake wapo wengi tu tena wenye heshima. Asikuzingue

penye nyekundu pana onesha wewe ni kibaraka wa nani.
 
Wewe kibaraka wa wazungu. Haki sawa ni kwa watu wasio wastaarabu. Mwanamke anatolewa mahali. Acha ujinga wa kizungu.

Mkuu acha mambo ya kufuata mke, utakuwa mtumwa, wanamatatizo hawa usiwaone2 hivi.

Fanya Kiume acha mambo ya haki sawa yatakupoteza kuwa na msimamo. Ikiwa vipi basi vipi, unamtema wanawake wapo wengi tu tena wenye heshima. Asikuzingue
MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

haya hapo juu ni maneno ya signature yako ni namna gani yanapotray ulivo..............CRAP.



https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=3128895
 
WEWE SI NDIE ULIOA MKUU??? WEWE SI NDIO ULIMTOA KWAO UKAMLETA KWENU AU NI KINYUME CHA HIVYO??
ACHA YEYE AKUFUATE BANA....HATA UKIWA PORINI NAMNA GANI NA AJE TU HAFUATI PORI BALI ANAKUFUATA WEWE.

LAKINI??.....Haya mambo ya kufuatanafuatana mbona yamepitwa na wakati mkuu?? chapa kazi hapo ulipo nae acha aendelee na kazi. akiweza ahamie kwako....AU WIVU MKUU???? UNAHISI JAMAA WANAKUTIME NINI??

Tatizo yeye anafanya kaz chuo kikuu dom,na mkoa niliopo mimi hakuna chuo kikuu,ningemleta kwangu,mim nafanya kaz halimashauri!nashakuru maoni yako
WAKATABAU
 
Acha uzoba!! mwananamke ndio anatakiwa kukufuata na siyo ww kumfuata mwanamke .........

Sio uzoba mkuu!ila ishu ni kuwa kazi anafanya chuo,sasa nilipo mimi hakuna chuo,na yeye ajanilazimisha mimi kuama
 
Back
Top Bottom