Nguo ni kitu kingine kabisa ambacho kimebeba nguvu kiroho (Jasho na thamani yako).
Mpe mwanao nguo hiyo au mkeo aivae ila sio mtu mwingine.
Ukitaka kumpa mwingine basi kamnunulie dukani umpe.
Watu wanafungwa kupitia nguo.
Kuna mtu niliwahi kumpa nguo na tulikuwa tunaishi naye nyumba moja. Hatukuwa na undugu bali ni rafiki ndugu. Nilimpatia hiyo mara baada ya mimi kutaka kuitupa na akaiomba, nikampa. Toka alipoiomba sikuona ameivaa, wala sikuwahi kuiona tena ila tu majanga yakaanza kuniporomokea. Ikabidi niingie vitani (Maombi na kutafuta kujinasua). Ndio pona yangu, mizigo yote ikarudi kwa ndugu rafiki. Hadi nilimuhirumia.
Kiukweli, nguo ulioivaa mpe mtu ambaye bado hajaijua/haijui dunia. I mean mtoto yatima au kichaa/mwehu.
__________________
Ila huyo wa kupiga mke kafika mbali japo kuna wanawake ni vichwa ngumu, kuta hapo kaulizwa tu kidogo yeye akaanza kupayuka. Tusiegemee upande mmoja.
Kuna mwanamke unakuta huna hata huna shida ya kumuadhibu ila sasa yeye anazidi kukupandisha vibe unajikuta ushamchoresha chips shavuni. 😀