Mume muislam anahitajika

Abdoool niachane na mke wangu mzungu nije nioe utopolo huu haiwezekani.
.
Kiumbe gani huyo nayemwabudu? Yule anayetaka tusali tumeangalia uelekeo wake?


Umefuata njia ya yesu kuoa mke mzungu kama yeye??

Yesu huyo na vifaa vyake


 
Sina maneno mengi

Sifa zangu:
25yrs
Maji ya kunde
Sina kazi
Muislam

Ninayemhitaji:
Kuanzia 28-32yrs
Rangi yoyote
Awe na chochote cha kumpa rizki
Muislam

Karibuni
Nitumie picha yako PM.
 
Sina maneno mengi

Sifa zangu:
25yrs
Maji ya kunde
Sina kazi
Muislam

Ninayemhitaji:
Kuanzia 28-32yrs
Rangi yoyote
Awe na chochote cha kumpa rizki
Muislam

Karibuni
Nna 36 vipi huwezi nifikiria, kwengine kote nakidhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…