Mume mwenye sifa hizi anahitajika

[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Imeandikwa mume bora anapatikana kwa mungu ww unamtaka kwenye jamii forum, na mashart mengi kuliko hata ya mikopo ya bank
 
Kama uliweza kuzaa na asiye na hivyo vigezo leo ndio utoe vigezo ukifikisha umli wa miaka 40 utaitaji mume kigezo hawe mwanaume tu ndio tutakuja
 
Vp tukituma CV tunaambatinsha na vtu gan?
 
p
Mnakosea sana mnaotafuta watu, picha ni kitu cha msingi sana unajua hiyo siyo kazi kwamba upeleke cv tu inatosha, hiyo kitu mbali na hizo sifa kuna sifa za ziada ambazo zina nguvu sana huenda kuliko hata hizo cv, weka hata pasport size bana.
icha haiwezi kutumwa kwa kila mtu
 
Kama uliweza kuzaa na asiye na hivyo vigezo leo ndio utoe vigezo ukifikisha umli wa miaka 40 utaitaji mume kigezo hawe mwanaume tu ndio tutakuja
abda nikifika iyo 40, kwasasa vigezo muhimu
 
Nashukuru mungu kuninyima sifa tajwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo aliyekupa mimba tayari kakukimbia? Hebu toa sababu za kutokuwa nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…