mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
[emoji8][emoji8][emoji8]Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Imeandikwa mume bora anapatikana kwa mungu ww unamtaka kwenye jamii forum, na mashart mengi kuliko hata ya mikopo ya bankAnahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Vp tukituma CV tunaambatinsha na vtu gan?Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
icha haiwezi kutumwa kwa kila mtuMnakosea sana mnaotafuta watu, picha ni kitu cha msingi sana unajua hiyo siyo kazi kwamba upeleke cv tu inatosha, hiyo kitu mbali na hizo sifa kuna sifa za ziada ambazo zina nguvu sana huenda kuliko hata hizo cv, weka hata pasport size bana.
abda nikifika iyo 40, kwasasa vigezo muhimuKama uliweza kuzaa na asiye na hivyo vigezo leo ndio utoe vigezo ukifikisha umli wa miaka 40 utaitaji mume kigezo hawe mwanaume tu ndio tutakuja
sawaEndelea kuswampa tu
icha muhimu na vyeti originalVp tukituma CV tunaambatinsha na vtu gan?
kuyategemea haya, kama huwezi ni wewe, na roho mbaya yakoTeh teh teh teh yani nioe mama kijacho? Hahahahahahhaha. Tulia dawa ikuingie we uligawa papuchi ukitegemea nn,
kiajeEndelea kuamini unacho kiamini. Sio kwa uchafu wa mdomo uliona [HASHTAG]#wakuolewa[/HASHTAG].
#naenda_zimbabwe
Niambatanishe na password za ATM na M- pesap
icha muhimu na vyeti original