Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Sir mweli Mimi...kama najiona vile nnavyo okota dodo kwenye mkuyu....Tatizo PM spajui....nielekeze basi nije hapo tuyajenge
 
Mmmm mwanaume wa mitandaoni kila siku mmnaambiea jamani kama umeshindwa kumpata huko kazini,mtaani unakopita unahiis asieonekana utampata
Alimpata mitaani wanakaribia mtoto. Ila anataka mwengine sasa ambae atakubali kua pia baba wa mtoto huyo
 
Mmmm mwanaume wa mitandaoni kila siku mmnaambiea jamani kama umeshindwa kumpata huko kazini,mtaani unakopita unahiis asieonekana utampata
Mume anapatikana,kasheshe ni kumpata muoaji..
 
Je akiwa na sifa hizo na watoto wawili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…