Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Baaado hujanishawishiKuna vya kuzingatia hapa....pengine Mumewe alikuwa ndio wa kwanza kwake....hakujua kumbe kuna vitamu kumzidi mumewe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baaado hujanishawishiKuna vya kuzingatia hapa....pengine Mumewe alikuwa ndio wa kwanza kwake....hakujua kumbe kuna vitamu kumzidi mumewe....
Kuna kauzembe Aku amekafanya si uongo...pengine hakutarajia haya yote....Tutajuaje kua Aku hakutaka Sam aone kipimo? Asingekitupa kwenye ndoo ya taka.
Tutajuaje kua Aku atacheat hata baada ya huu msala kupita? Amemsaliti mtu aliyeanza naye tangu chuo huyu loyalty haipo damuni.
Tutajuaje kua Aku ana akili za darasani tu? Eti hajui siku zake.
Tutajuaje kama hii stori ni kweli? Inasound kama uongo and we all know truth is stranger than fiction.
Kinga iliyo salama ni kuutambua mzunguko sahihi japo unaweza kuvurugika kutokana na sababu mbali mbali.Hata wale wanaotumia kinga/uzazi wa mpango wanapataga ajali hizi....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinga iliyo salama ni kuutambua mzunguko sahihi japo unaweza kuvurugika kutokana na sababu mbali mbali.
Kinga zingine zina madhara ikiwemo ajali unayoisema.
Kama kweli mtu hujaamua kulea basi nyegezi isikuzidi akili
Mwanamke akishazaa, mzunguko huwa unakawia kuanza na unaweza bila kujua maana bleed inaweza isionekane. Hapo ndio kuna hatari kubwa ya ajali(kisa cha ajali ya namna hii kipo humu).[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mume katoka naye mbali sana mbali na hapo ni tamaa tu imetawala akili zake.Ungeshauri aruhusu moja ipi imponyoke?
Mume au Mchepuko?
Mkuu msaidie aku! [emoji119][emoji119][emoji119]Kwa kutojua mimba ni ya yupi ni wazi Aku ni mjinga apambane na hali yake
Huu ujinga wa bidada umenishangaza sanaMkuu msaidie aku! [emoji119][emoji119][emoji119]
kama yule sokwe wa kwa museveniHata wale wanaotumia kinga/uzazi wa mpango wanapataga ajali hizi....
Aolewe mara mbiliAmmwambie Joe ana mimba yake tu waoane........ ni aheri amuumize Sam kuliko kumpa ujauzito usio wake.
bila kujua Aku akajikuta kwenye penzi na huyu daktari….(Joe)
Asubiri mtoto azaliwe kwanza ndio afanye maamuzi. Kama mtoto niwa joe aolewe nae na kama mtoto akiwa niwa sam avunje mahusiano na joe maisha yaendele.
Ikitokea mtoto akawa niwa joe alafu akamshikisha sam inaweza leta shida baadae