Mume na Mke Wazalendo Waliopigania Uhuru: Mr na Mrs Jotam Mwakalinga Mwakajila

Mume na Mke Wazalendo Waliopigania Uhuru: Mr na Mrs Jotam Mwakalinga Mwakajila

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
WAZALENDO MKE NA MUME WALIOPIGANIA UHURU: MR NA MRS JOTAM MWAKALINGA MWAKAJILA

Nimepokea picha hiyo pamoja na ujumbe uliopo hapo chini:

"Kwa upande wa Mkoa wa Mbeya, babangu na mamangu walihusika sana kupigania uhuru.

Baba akiwa kwenye Rungwe Cooperative na wakati ndio nguvu ya nchi pamoja na Kilimanjaro na Bukoba.

Jina: Chief Jotam Mwakalinga Mwakajila.

Kama utaweza kumwingiza kwenye kundi hilo nitafurahi.

Hiyo picha ni ya mwaka 1957. Shukrani."

John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko kwenye mikono ya watu binafsi.

Bahati mbaya nimepokea hii picha kutoka mtu wa tatu.

Nitafurahi sana kama mwenyewe atajitokeza.

Mbeya anaejulikana zaidi ni Bint Matola.

Itapendeza kupata jina la mama yetu mke wa Chief Jotam Mwakalinga Mwakajila na taarifa nyingine zaidi.

Picha hii naiweka katika Jumu la Picha za Wapigania Uhuru.
 

Attachments

  • IMG-20240625-WA0044.jpg
    IMG-20240625-WA0044.jpg
    78.6 KB · Views: 9
WAZALENDO MKE NA MUME WALIOPIGANIA UHURU: MR NA MRS JOTAM MWAKALINGA MWAKAJILA

Nimepokea picha hiyo pamoja na ujumbe uliopo hapo chini:

"Kwa upande wa Mkoa wa Mbeya, babangu na mamangu walihusika sana kupigania uhuru.

Baba akiwa kwenye Rungwe Cooperative na wakati ndio nguvu ya nchi pamoja na Kilimanjaro na Bukoba.

Jina: Chief Jotam Mwakalinga Mwakajila.

Kama utaweza kumwingiza kwenye kundi hilo nitafurahi.

Hiyo picha ni ya mwaka 1957. Shukrani."

John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko kwenye mikono ya watu binafsi.

Bahati mbaya nimepokea hii picha kutoka mtu wa tatu.

Nitafurahi sana kama mwenyewe atajitokeza.

Mbeya anaejulikana zaidi ni Bint Matola.

Itapendeza kupata jina la mama yetu mke wa Chief Jotam Mwakalinga Mwakajila na taarifa nyingine zaidi.

Picha hii naiweka katika Jumu la Picha za Wapigania Uhuru.
Hii nzuri mambo yawe diverse siyo upande mmoja.
 
Mzee hapo ndo unaharibu. Usichombeze hisia za udini ktk uhuru. Hiki ndiyo tunakipinga siku zote. Kuonesha kuwa kundi fulani Lina haki na uhuru kuliko jingine.
James...
Ukweli ni huo kuwa African Association iliundwa na Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Ali Said Mpima, Zibe Kidasi, Suleiman Majisu, Cecil Matola, Rawson Watts na Raikes Kusi.

Hili kundi sikulitengeneza mimi.
Historia ya TANU ndiyo ilivyoanza.

Kwa nini majina haya hayakutajwa katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika jibu nawaachia wasomaji.

Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir alikuwa akiuza kadi za TANU misikitini na kuhasisha Waislam wajiunge na chama kupigania uhuru.

Kwa nini wengine hawakufanya haya?

Jibu nakuachia wewe.
 
Mzee hapo ndo unaharibu. Usichombeze hisia za udini ktk uhuru. Hiki ndiyo tunakipinga siku zote. Kuonesha kuwa kundi fulani Lina haki na uhuru kuliko jingine.
Wewe leta ya kwako yenye ushahidi kamilifu
Hata ile ya Kivukoni au ya ngonjera za shuleni, weka hapa tuyajadili
Hapa walikuwepo kina Pascal Mayalla , Yericko Nyerere , Kiranga na wengine wengi, wote walirudi kwenye mashimo yao kinyumenyume walikotoka kama ngiri
Na wewe leta ushahidi(EVIDENCE), SIO HOJA, hapa ni facts tupu na sio talalila za HOJA kama hao waliokimbia,
Sio unabwabwaja mataputapu ya kuzunguka mbuyu
 
Wewe leta ya kwako yenye ushahidi kamilifu
Hata ile ya Kivukoni au ya ngonjera za shuleni, weka hapa tuyajadili
Hapa walikuwepo kina Pascal Mayalla , Yericko Nyerere , Kiranga na wengine wengi, wote walirudi kwenye mashimo yao kinyumenyume walikotoka kama ngiri
Na wewe leta ushahidi(EVIDENCE), SIO HOJA, hapa ni facts tupu na sio talalila za HOJA kama hao waliokimbia,
Sio unabwabwaja mataputapu ya kuzunguka mbuyu
Kwahiyo uhuru wa Tanganyika umepiganiwa na waislam?
 
Kwahiyo uhuru wa Tanganyika umepiganiwa na waislam?
Nafikili unashindwaga kumuelewa Mohamed Said

Uhuru wa TANGANYIKA WAISLAM wamehusika kwa karibu 90 asilimia katika kuanzisha VUGUVUGU miaka zaidi ya 100 iliyopita
Ni wakiristo wachache sana ambao walianza na Hilo VUGUVUGU
Hilia baadae ni wakiristo wengi walianza kujitokeza ambao walishirikiana na WAISLAM Tena wengine Hadi kutumia pesa zao kukamilisha UHURU kamili

lakini Inapoku kuelezwa HISTORIA ya TANGANYIKA karibu wahasisi wengi wa UHURU hawazungumziwi(ambao wengi wao ni WAISLAM kwa karibu 90%) kwa kutajwa majina Yao
Wengi wanaotajwa nani wakristo ambao walikuja mwishonimwishoni kabisa la VUGUVUGU

Hvyo anachofanya Mohamed Said ni kuelezea HISTORIA halisi ya wapigania UHURU wa TANGANYIKA
lakini uzuri wake yeye anakuletea na USHAIDI wa picha(akiwataja kwa majina wahusika na hata akikuelezea hapo ilikuwa wapi) vipande vya gazeti vitabu ama wakti mwingine anakueleza mpk mitaa Hadi nyumba za hao wapigania UHURU WA KIISLAM ambapo baadhi zipo mpk kesho
 
Back
Top Bottom