Mume Sasa Atatiwa Hatiani Kwa Kosa la Kumbaka Mkewe Nchini India.

Mume Sasa Atatiwa Hatiani Kwa Kosa la Kumbaka Mkewe Nchini India.

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wajubaa
.
Mume Sasa Atatiwa Hatiani Kwa Kosa la Kumbaka Mkewe Nchini India.
.
Wakuu, Baada ya Kusililizwa Kwa shauri lililolenga ktaka kwamba iwe Kosa la ubaki ni pale Mme anapomlamzimisha mkewe KUFanya tendo la Ndoa.
.
Hatimaye Justice Rajiv Shakdher Wa Mahakama Kuu ya Delhi amefuta kifungu kilichopo kweye Sheria ya Makosa ya Jinai ya India kinachosema Kwamba Mme Hawezi Kumbaka Mkewe.
.
Aidha kifungu hicho pia kipo katika Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu ya Tanzani.

Screenshot_20220512-171236.jpg
 
Kibongo bongo wanabakwa na wanatulia kimya, wakiogopa kujidhalilisha.
 
Kibongo bongo wanabakwa na wanatulia kimya, wakiogopa kujidhalilisha.
Ww Haujawahi Kubakwa? Kubaka Ina Maana ya kulazimishwa kufanya sex intercourse bila idhini yako
 
Wajubaa
.
Mume Sasa Atatiwa Hatiani Kwa Kosa la Kumbaka Mkewe Nchini India.
.
Wakuu, Baada ya Kusililizwa Kwa shauri lililolenga ktaka kwamba iwe Kosa la ubaki ni pale Mme anapomlamzimisha mkewe KUFanya tendo la Ndoa.
.
Hatimaye Justice Rajiv Shakdher Wa Mahakama Kuu ya Delhi amefuta kifungu kilichopo kweye Sheria ya Makosa ya Jinai ya India kinachosema Kwamba Mme Hawezi Kumbaka Mkewe.
.
Aidha kifungu hicho pia kipo katika Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu ya Tanzani.

View attachment 2221787
Duh.... kupiga puli mbele ya mkeo ni ubakaji pia
 
Kwa mujibu wa Penal Code hakuna kosa kama hilo Tanzania, ila litakua kosa tu kama kuna separation.
.
Mke hawezi kubaka, mme ndo anabaka take judicial note MKuu
Mke anabakwa vipi na mumewe!!?..acheni ujinga!!..akattwombe wapi akiwa na hamu!!?..

.
 
Kwa mujibu wa Penal Code hakuna kosa kama hilo Tanzania, ila litakua kosa tu kama kuna separation.
.
Mke hawezi kubaka, mme ndo anabaka take judicial note MKuu


.
Mume anambaka vipi mke wake!?..mke ni nini!?..alipokua anaolewa alidhani anaenda kufanya nini na mumewe!?
 
Nakazia pia wakimaliza kupitisha hii sheria wasisahau kupitisha pia ile ya ushoga kila mwanaume anayejiskia kugegedwa awe huru tu nchini india mana siku hizi mambo yameshakua shaghala baghala maa' make' in japan
 
Back
Top Bottom