Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka na kapicha ingependeza zaidi.Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Jiongeze mkuu maana hata ZAKAYO alijiongeza kwa kupanda juu ya mtiduuh mimi mlokole na andunje ndo basi tena, Mungu nione na mimi katika jukwaa hili ssishi kubaguliwa
AmiinBaby Anka, nimeguswa sana na uliloliandika hapa! busara za hali ya juu, dalili za ucha mungu, subra na hekma zilizokujaa. Hakika kila penye uzito kuna wepesi (Rejea Qur an 94:5). Kuusadikisha ukweli kwamba hutaki zinaa na ukawa tayari kuwaruhusu walioshindwa sharti hilo waende ni ujasiri wa hali ya juu na ni dalili njema ya kuwa wewe utakuwa mke bora kabisa.
Umesema elimu yako ni ndogo lakini nakuthibitishia kwamba uelewa wako ni mkubwa, umeelewa na kufaham kwamba sisi wanaume haturidhishwi tu na ngono, na wote ambao wameachana na wewe kwa kuwa hukuwa tayar kufanya nao ngono (my thoughts) hawakuwa wema kwako. Mimi ni mwanamme pia na sio kama ni mtakatifu hapana! mimi nimewahi kuzini na najua ni namna gani sisi wanaume tulivyo linapokuja suala la ngono. Kwa hiyo ndugu yangu baki na msimamo wako huo huo na Mola wako ataikidhi haja yako.
Ni kweli wengi ambao tabia zetu ni njema na tunahofia zinaa mara nyingi tufikapo miaka 25-28 tunakuwa tumeshaoa kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo, hivyo basi ikiwa atatokea kijana mwenye tabia njema na ukaridhishwa na dini yake basi usijali kwamba utaingia kwenye ndoa ya mitala. Kama wewe ni muislam unaeijua dini yako naamini hilo halitakuwa tatizo.
Acha nisiongee sana lakini nkipata wakati ntakuandikia ninayotamani nkuandikie PM
Angalia (Qur an 2:200) Allah anasema " Enyi ambao mmeamini, fanyeni subra na mvumilie na muwe imara na mcheni Mwenyezi mungu ili mpate kufaulu.
Kila la kheri ndugu yangu
Inategemea na MTU sio wote wana tabia mbaya,kwa MTU mwenye hofu ya Mungu sio rahis kufanya mambo mabaya yanayomchukiza MunguHakuna kitu kigumu km mke katika dunia hii.
Mungu saidia mimi nitulie na wamitaani kwanza.
Kuoa ni kujitia presha bure . Nina jamas yangu kaoa mpk namuonea huruma coz anahangaika na mwanamke mara adukue simu yake .. daah mpk namuonea huruma kwa kweli [emoji24][emoji24][emoji24] mkitafuta wanaume wafanyeni wawaamini wasiishi nanyi kiumashaka .
LOVE AND PAIN si nzuri
Isemee nafsi yako wastaarabu wapo,na wenye nia ya dhat pia wapoJamani dunia ina Mambo. Umetembea na Wangapi? Ndo unataka sasa wa kuja kumalizia makombo? Tafuta kene hio listi yako mama sisi huku Jf ni wa kuchart tu. Labda tukusaidie kukutongoza tu kama hujatongizwa muda mrefu