Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimepata mwanaume mwingine nae ni mme wa mtu

Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimepata mwanaume mwingine nae ni mme wa mtu

Phobia

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,156
Reaction score
1,819
Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu!

Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana masharti sana. Hata kwenye kupiga simu, ni mpaka yeye anipigie; hata kama nina shida gani, nikimpigia au kutuma meseji, anakasirika na anaweza kuninunia hata kwa miezi sita. Kwa hiyo, nimeshajua nafasi yangu.

Kinachonikera ni kwamba yeye ni mwanaume mwenye wivu sana, ananichunga hadi kuweka watu kunifuatilia. Amenipangishia na ananihudumia kwa kila kitu ila hataki nifanye kazi au hata kutoka nje. Sasa kuna mwanaume mwingine nimekutana naye mtandaoni, tumekuwa tukichat kwa muda mrefu kama wapenzi.

Kuna kipindi nilienda kusalimia kwetu na nikapata nafasi ya kuonana naye, tukaanzisha mahusiano. Nilimuambia kuwa mimi nina mtoto na yeye akaniambia kuwa ana watoto wawili wako na mama yao na wameshaachana, hivyo akaniambia anataka kunioa.

Anataka kuja kwetu mwezi wa 11 na nilishamkubali, lakini katika kufuatilia kwenye watu wanaomfuata Instagram, nikaona picha yake imepostiwa na mwanamke, na nikagundua kuwa huyu mwanaume ana mke tena ndoa ya Kanisani.

Nilimuuliza akakubali kuwa ni kweli, lakini anataka kunioa mke wa pili. Sijui nifanyeje, anaonyesha kuwa yuko siriasi na mimi, na nawaza nimkubali niachane na huyu mwingine au nifanye nini. Nimechoka kuishi mwenyewe, natamani kuwa na familia yangu!
 
IMG-20240828-WA0006.jpg
 
Umesema ni mume wa mtu, sasa atakuoajee wee? Km unazungumzia kuolewa mke wa 2, mwayaaa unajidanganyaaa.

Afu unajisifu umepata tena mwanaume mwingine, nae mume wa mtu na ndoa yake ya kanisani, afu anakudanganyaa atakuoa nawee unakubaliii? Uko timamu?

Haya tufanye yess wameachana na mkewe pia mama watoto wake, ulishajiuliza ni nn kilipelekea had wao wakaachanaa? Vipi kakupa uthibitisho wa wao kuachana (talaka)?

Mwayaa em kaa utafutee mwanaume ambaye utalast nae ktk life na mtakua na future yenuu. Huku kudandia mabwana za watu mtakujaa kufanwa kitu mbayaaa, afu muanzee kulaumuu watu.

Wee unasumbuliwa na njaa na umaskinii, huna mapenzi kwa hao wanaume, na unasema anakubana na kukuchungaa, kwanini asifanye hivyo? Ikiwa anakulishaa, anakuvisha, anakulazaa, na kila huduma, unategemeajee?

Afu nikuulize, imagine wee ndo mke wa mtu, afu mumeo awe anafanya hayo kwa mwanamke mwingine, km wee unavyofanyiwa hapa, utajisikiajee?

Achana na waume za watu, tafuta mwanaume wako na umtengeneze awe utakavyoo. Lol
 
Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu!

Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana masharti sana. Hata kwenye kupiga simu, ni mpaka yeye anipigie; hata kama nina shida gani, nikimpigia au kutuma meseji, anakasirika na anaweza kuninunia hata kwa miezi sita. Kwa hiyo, nimeshajua nafasi yangu.

Kinachonikera ni kwamba yeye ni mwanaume mwenye wivu sana, ananichunga hadi kuweka watu kunifuatilia. Amenipangishia na ananihudumia kwa kila kitu ila hataki nifanye kazi au hata kutoka nje. Sasa kuna mwanaume mwingine nimekutana naye mtandaoni, tumekuwa tukichat kwa muda mrefu kama wapenzi.

Kuna kipindi nilienda kusalimia kwetu na nikapata nafasi ya kuonana naye, tukaanzisha mahusiano. Nilimuambia kuwa mimi nina mtoto na yeye akaniambia kuwa ana watoto wawili wako na mama yao na wameshaachana, hivyo akaniambia anataka kunioa.

Anataka kuja kwetu mwezi wa 11 na nilishamkubali, lakini katika kufuatilia kwenye watu wanaomfuata Instagram, nikaona picha yake imepostiwa na mwanamke, na nikagundua kuwa huyu mwanaume ana mke tena ndoa ya Kanisani.

Nilimuuliza akakubali kuwa ni kweli, lakini anataka kunioa mke wa pili. Sijui nifanyeje, anaonyesha kuwa yuko siriasi na mimi, na nawaza nimkubali niachane na huyu mwingine au nifanye nini. Nimechoka kuishi mwenyewe, natamani kuwa na familia yangu!
Hapa ndio watu tunapouana,jamaa ana mke na wewe ni mchepuko,kama mkewe ana mtu naye anatembea naye peku ina maana na wewe unao,kana huyo mume wa mtu mwingine uliempata naye ana mke na mkewe sio muaminifu ina maana huko nako unaweza kuupata,kama huyu wa kwanza mkewe katulia lkn wewe unaefungiwa ndani unacheat na huyu aliekuahidi kukuoa mke wa pili ina maana utampakaza,na yeye atampakaza mkewe,tuache zinaa jamani,mwisho wa siku ni majuto tu...
 
Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu!

Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana masharti sana. Hata kwenye kupiga simu, ni mpaka yeye anipigie; hata kama nina shida gani, nikimpigia au kutuma meseji, anakasirika na anaweza kuninunia hata kwa miezi sita. Kwa hiyo, nimeshajua nafasi yangu.

Kinachonikera ni kwamba yeye ni mwanaume mwenye wivu sana, ananichunga hadi kuweka watu kunifuatilia. Amenipangishia na ananihudumia kwa kila kitu ila hataki nifanye kazi au hata kutoka nje. Sasa kuna mwanaume mwingine nimekutana naye mtandaoni, tumekuwa tukichat kwa muda mrefu kama wapenzi.

Kuna kipindi nilienda kusalimia kwetu na nikapata nafasi ya kuonana naye, tukaanzisha mahusiano. Nilimuambia kuwa mimi nina mtoto na yeye akaniambia kuwa ana watoto wawili wako na mama yao na wameshaachana, hivyo akaniambia anataka kunioa.

Anataka kuja kwetu mwezi wa 11 na nilishamkubali, lakini katika kufuatilia kwenye watu wanaomfuata Instagram, nikaona picha yake imepostiwa na mwanamke, na nikagundua kuwa huyu mwanaume ana mke tena ndoa ya Kanisani.

Nilimuuliza akakubali kuwa ni kweli, lakini anataka kunioa mke wa pili. Sijui nifanyeje, anaonyesha kuwa yuko siriasi na mimi, na nawaza nimkubali niachane na huyu mwingine au nifanye nini. Nimechoka kuishi mwenyewe, natamani kuwa na familia yangu!
Kama umalaya (dini) unamruhusu, si shida yeye kukuoa wewe, si utakuwa mke wa pili au wa tatu. Shida iko wapi?
 
Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu!

Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana masharti sana. Hata kwenye kupiga simu, ni mpaka yeye anipigie; hata kama nina shida gani, nikimpigia au kutuma meseji, anakasirika na anaweza kuninunia hata kwa miezi sita. Kwa hiyo, nimeshajua nafasi yangu.

Kinachonikera ni kwamba yeye ni mwanaume mwenye wivu sana, ananichunga hadi kuweka watu kunifuatilia. Amenipangishia na ananihudumia kwa kila kitu ila hataki nifanye kazi au hata kutoka nje. Sasa kuna mwanaume mwingine nimekutana naye mtandaoni, tumekuwa tukichat kwa muda mrefu kama wapenzi.

Kuna kipindi nilienda kusalimia kwetu na nikapata nafasi ya kuonana naye, tukaanzisha mahusiano. Nilimuambia kuwa mimi nina mtoto na yeye akaniambia kuwa ana watoto wawili wako na mama yao na wameshaachana, hivyo akaniambia anataka kunioa.

Anataka kuja kwetu mwezi wa 11 na nilishamkubali, lakini katika kufuatilia kwenye watu wanaomfuata Instagram, nikaona picha yake imepostiwa na mwanamke, na nikagundua kuwa huyu mwanaume ana mke tena ndoa ya Kanisani.

Nilimuuliza akakubali kuwa ni kweli, lakini anataka kunioa mke wa pili. Sijui nifanyeje, anaonyesha kuwa yuko siriasi na mimi, na nawaza nimkubali niachane na huyu mwingine au nifanye nini. Nimechoka kuishi mwenyewe, natamani kuwa na familia yangu!
Mwendo wa kubadili daladala tu
 
Mume wa mtu miaka 5 hataki kunioa nimapata MWANAUME mwinagine naye ni mume wa mtu!

Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 5 na tuna mtoto mmoja. Ni mwanaume ambaye ananihudumia kwa kila kitu, ananijali na sijawahi kukutana na mke wake, hata sijui kama ananifahamu kwani huyu mwanaume ana masharti sana. Hata kwenye kupiga simu, ni mpaka yeye anipigie; hata kama nina shida gani, nikimpigia au kutuma meseji, anakasirika na anaweza kuninunia hata kwa miezi sita. Kwa hiyo, nimeshajua nafasi yangu.

Kinachonikera ni kwamba yeye ni mwanaume mwenye wivu sana, ananichunga hadi kuweka watu kunifuatilia. Amenipangishia na ananihudumia kwa kila kitu ila hataki nifanye kazi au hata kutoka nje. Sasa kuna mwanaume mwingine nimekutana naye mtandaoni, tumekuwa tukichat kwa muda mrefu kama wapenzi.

Kuna kipindi nilienda kusalimia kwetu na nikapata nafasi ya kuonana naye, tukaanzisha mahusiano. Nilimuambia kuwa mimi nina mtoto na yeye akaniambia kuwa ana watoto wawili wako na mama yao na wameshaachana, hivyo akaniambia anataka kunioa.

Anataka kuja kwetu mwezi wa 11 na nilishamkubali, lakini katika kufuatilia kwenye watu wanaomfuata Instagram, nikaona picha yake imepostiwa na mwanamke, na nikagundua kuwa huyu mwanaume ana mke tena ndoa ya Kanisani.

Nilimuuliza akakubali kuwa ni kweli, lakini anataka kunioa mke wa pili. Sijui nifanyeje, anaonyesha kuwa yuko siriasi na mimi, na nawaza nimkubali niachane na huyu mwingine au nifanye nini. Nimechoka kuishi mwenyewe, natamani kuwa na familia yangu!
Una upako wa waume za watu
 
Back
Top Bottom