Alisoma kwa ajili ya ndg zake, hapo ni kuchakarika kutafuta zako ili ujihudumie na uhudumie ndg zako, mimi binamu yangu kaoa muda kidogo, wifi akawa analalamika hasaidii ndg zangu, kuja kulalamika kwa mama yangu, na kufunguliwa akili wewe upo home umekaa tu toa cherehani yako upinde kanga upate hela usaidie ndg zako. Hadi saiz ndg zake wakija anawasaidia fresh tu haya mambo ya kumtegemea mwanaume binafsi siyawezi.
FANYA MPANGO WA KUTAFUTA PESA YAKO, USIMTEGEME
[/QUOTE
Ana maduka 2 ya dawa ambayo anapata si chini ya lak 6 kwa mmwez na moja lina Mpesa ambayo commission anapata laki mpaka laki na 20 kwa mmwez lkn hesabu yote jamaa anasimamia kikamilifu ili iingie katika majukum ya familia