Mume wa Shamim amtishia Mange Bastola

Status
Not open for further replies.
Ila huyo jamaa kamkosea sana.....alikuwa anamtisha.Mtandao wa sembe hauwezi aachane nao hata kama anaujua na sidhani kama ana concrete evidence juu ya hayo zaidi ya maneno maneno
 
Ukimtoa duniani haimsaidi coz atakuwa tayari kafa.Labda afanyiwe kitu ambacho kila akijiona analia

Huyo jamaa kakosea kumwonesha bastola maana kule polisi huyu mdada karipoti kutishiwa kuuawa hivyo ikitokea akafa hata kama hajafanya huyo jamaa basi huyo aliemtishia atakamatwa kama suspect # 1
Angekaa kimya amtengue mguu kimya kimya hata polisi wangepata wakati mgumu kuchunguza maana ana maadui wengi
 
Hahahah hatareeee loya..... Mange ana hatari

Hebu imagine mbaba wa watu anafanya biashara iliyoharamishwa ulimwengu mzima, halafu anamwanika hivyo kwenye kiblog chake..... kama si kutafuta kurisasiwa ni nini??? Maana inabidi aishi kama digidigi.... na labda hata kuongeza "umiliki" wa polish poshti ambao ni gharama. Heri awaweke ma x shoga zake tu atazidi wapa kiki mjini....
Teh Teh Boss nchi hii watu wana miliki vituo ndio maana hakuna mtu anaweza kureport jambo la hatari maana watakuchoma! Ila Mange anapitiliza sana...
 
Atakimbilia kwenye blog sasa kufuta posts zao zote maana jina la mumewe Shamim alilitaja mwaaaaa na wenzake wengine tuliyajulia kwenye blog yake.
 
Kwanza mtakuja kuniambia hapa huyo Abdul hawezi kuwa kamtishia bastola Mange ni muongo professional yule mwanamke na story ya Makamba imeingiaje? Aache kutukana watu bila sababu, hivi mtu gani yuko kama Mange duniani hapa jamani? Halafu anakimbilia insta kutaka sympathy...
 
Huyo Mange amwagiwe tindikali tu ndiyo dawa yake.. kuliko kumuua, hiyo ndiyo itakuwa funzo kwake. Kutwa kuchokoa watu.. yani natamani ujinga huu aniletee mimi au mtu wangu wa karibu... Anaudhi sana huyu
 

Ni kweli kamtolea hiyo bastola?

Mshasikia na upande wake?

Au maneno ya huyo mwanamke mnayaamini 100% kuwa ndo ukweli, ukweli wote, na ukweli mtupu?

Kuna mashahidi walioshuhudia tukio zima? Kama wapo, wao wanasemaje?
 
Ni kweli kamtolea hiyo bastola?

Mshasikia na upande wake?

Au maneno ya huyo mwanamke mnayaamini 100% kuwa ndo ukweli, ukweli wote, na ukweli mtupu?

Kuna mashahidi walioshuhudia tukio zima? Kama wapo, wao wanasemaje?

Mkuu, usiamini anachosema ,hana lolote, kaenda kutaka kupata sympathy kwa watu ambao hawamjui.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…