Mume wa Shamim amtishia Mange Bastola

Status
Not open for further replies.
Kumbe vituo vya polisi ni mali binafsi???? Ndio maana vijana mtaani wanaharibika tu deile.......
Ila nae ushamba wa kizamani kumtishia mtu bastola ( au ndio hakuna sheria????)
Biti tu hilo, kama haogopi kituo cha polisi angeshuti, kamtia tu jamba jamba
 
Atakimbilia kwenye blog sasa kufuta posts zao zote maana jina la mumewe Shamim alilitaja mwaaaaa na wenzake wengine tuliyajulia kwenye blog yake.
Mwenzie lazima atakuwa kahifadhi ushahidi..
 
Oh okay..

Maana ulivyoandika ni umeandika kana kwamba una uhakika na hukuweka qualification yoyote ile.

Habari za upande mmoja si vizuri kuzichukulia kuwa ndo ukweli wa mambo [ingawa zaweza kuwa].
Huyo jamaa ilitakiwa amtegue miguu kabisa ..
Nahisi saa hizi kutakuwa na kikao cha madada wa mujini....labda hosti mrs dona.....agenda kumkomesha Mange. Hehehehe, I am waiting for more ubuyu.
 
Kwa jinsi alivyo mwongo, naona asilimia 80 ni chumvi. She can manipulate your mind in ways u cant understand. MUME wa Shamim naye mshamba. Angemtafutia wazee wa kazi wakachape mpaka kashike akili zake.

Jamani mliotukanwa, mtu wenu huyo kajaaa...

Hahahaaa mtu wetu huyooo kaja! In a minute usipomjua Mange anaweza kukubadilisha namna ya kuamini kwako!
 
Hahahaaa mtu wetu huyooo kaja! In a minute usipomjua Mange anaweza kukubadilisha namna ya kuamini kwako!

Really?

Yaani kivipi hasa?

Maana mtu kama una akili yako timamu na ukiishirikisha vizuri si kazi ngumu kubaini pumba ni zipi na mchele ni upi.

Mbona sisi wengine huwa ni vigumu kuamini amini tu maneno ya watu hususan yaliyo ya upande mmoja....

Au sisi wengine ni breed tofauti na wengine?
 

Hahahaaa hapa mi nawazungumzia simple minded people, tena hasa wale wa instagramu na kwenye blog yake! As for me huyu dada hata aongeaje namuelewa fika!
Tena ukitaka kuamini hilo kaangalie watu jinsi walivyomvamia shamimu huko insta, mind zao zimekuwa corrupted gafla kwa maneno ya mange wakati ukweli wa tukio sote hatuujui!
 
Duuuuh hii ni hatari....me nkajua ni siasa tu nothing else,kumbe yapo mengine.Teh teh
Sio siasa wanajuana vizuri hadi ndani sasa naona anatoa kinyongo chake na hivi waligombana na mwami ndo basi kumuandika. Sasa Leo January aliingiaje eti watashirikiana naye kumshikisha adabu.
 
mbuta nanga anasema kuwa ni kweli mangekimambi kapigwa na makofi
 

Oh kama ni hivyo basi ni sawa.
 
Mange ndio karudi kimoja kuishi bongo, Marekani kumemshinda.

Ametafuta bodyguard bali anadai kapewa na mdau bure...apewe bure mmmh. Kaogopa mmama wa watu kaenda kukodisha bodyguard.

Then anasema haachi kuandika wauza unga asietaka kuandikwa akafanye kazi ya uhalali

Kamtukana Shamim kuwa sio mwanamke hakumface mwenyewe...hapi kasahau alitukana mumewe na wenzake na kuwataja kuwa wanahusika na sembe sasa anajaribu kubadili maneno bika fikra.

Haya wauza sembe Mange karudi kupambana nanyi live akiwa anaishi bongo. Kweli amehakikisha kuwa ndoa yake ilikufa aliachwa na udhamini wa Mwamvita kumpa pesa ya biashara ilivyokufa hata kusaidiwa pesa ameamua kurudi.

Karibu Tanzania hapa ndio kwenu hakuna kama nyumbani. Tutasikilizia juhudi zako za kupambana na wauza sembe ila kumbuka unatukanaga watu pia bila makosa waliyofanya zaidi ya kuwa na chuki nao.

Oops she said pia anatafuta bodyguard mwingine ndio maana haogopi mtu...mmmh what??? Hauogopi then u got a bodyguard!!!!!
 
Una uhakika karudi bongo moja kwa moja??????


 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…