GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tokea nikumanue unawashwa tu nami.Umemsahau zamwamwa GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea nikumanue unawashwa tu nami.Umemsahau zamwamwa GENTAMYCINE
Humu sasa unatafuta vita na watu,mimi staki kugombolezea[emoji2]Ila we unamaliza la Saba tu? mbona uandishi wako unamshinda mbali hata yule Ironbutterfly anaesemaga ana masters ya Birmingham
Anyway, pole Kwa mtihani,hao ndio wanaume hawakupi msaada bila return,,,hapo tumia akili za kuzaliwa kutatua hiyo puzzle
Hivi na iron mna ugomvi gani sisy?? 🤣🤣🤣Ila we unamaliza la Saba tu? mbona uandishi wako unamshinda mbali hata yule Ironbutterfly anaesemaga ana masters ya Birmingham
Anyway, pole Kwa mtihani,hao ndio wanaume hawakupi msaada bila return,,,hapo tumia akili za kuzaliwa kutatua hiyo puzzle
Huyu ni tapeli wa mapenzi,eti miaka 19 halafu join jf 2016Mpenzi wangu anakagua simu yangu na kuwatongoza marafiki zangu wa kike
"Mimi nina mpenzi yaani ni kama mke tofauti ni hatujafunga tu ndoa rasmi na tuna mtoto mmoja. Huyu binti sijui hata niseme ana wivu, sijui ni matatizo gani. Nilimpa uhuru wote wa kushika na kupekua simu yangu wakati wowote ule anapojiskia Ilifika wakati akiona kwenye WhatsApp kuna msichana...www.jamiiforums.com
Huyu si wewe?
Au umebadili jinsia Mkuu?
Huu mtandao ni wa mazombi mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye Post yako nyingine kuna mahali umeandika hivi
Nikampiga marufuku kushika simu sasa mkiwa pamoja lazima atapata muda tu wa kuchukua simu akakusanya namba zote akawapigia anawaambia kila mmoja mwache mme wangu na wengine ni staffmate wangu, classmates, school and college mates wananishangaa una mwanamke wa aina gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Darasa la saba join jf 2016?Huyu sio darasa la saba
Darasa la saba ila ana nondo za hatari[emoji1787]Serikali ya CCM inapojichanganya kiitikadi
Moja ya sifa ambazo huitambulisha serikali iliyopo madarakani ni itikadi yake hasa kupitia chama ambacho kwayo imeundwa. Sote tunafahamu, serikali ya awamu ya tano imeingizwa madarakani na chama cha mapinduzi ambacho kiitikadi kinafuata msingi wa UJAMAA na KUJITEGEMEA. Imani ya Ujamaa na...www.jamiiforums.com
Serikali ya CCM inapojichanganya kiitikadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uongo mkubwa, mwanamke ni Kama viumbe wengine hai, wamepewa ruhusa kutafuta riziki yao.Hairusiwi kabisa mwanamke kutafuta fedha they should stay home ........
Njaa will humble you...ukitaka kuwa na jeuri ya hivi uwe na kwa kufikia nje na hapo utaenda kutombeka na wahuni kwa elfu mbili mbili ...ampe tuNdu
Ndugu yangu pole sana kwa mtihani jambo la kufanya kama ni Muislamu sali umuombe Mungu wako na kama ni mkristo fanya hivyo hivyo.Shangazi yako usimwambie atakufukuza hapo na hatakuamini tena na huyo anko wako mkatalie direct mwambie mm siwezi kuwa na msimamo na ujiamini maana hiyo ni laana sasa na kama huyo anko atakufukuza jua kama Mungu atakakupokea na muombe shangazi ukafanye kazi dukani kwake na weka lengo la kuhama usijibweteke tu na kujisahau maana sasa anko anataka kukudhalisha na usipokee vitu vya bure vitakuzuru .
Huwaga ni much know,so huwa napenda kumzingua tu 🤣🤣🤣Hivi na iron mna ugomvi gani sisy?? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Yupo kwenye nyumba ya kioo hawezi vita ya maweHumu sasa unatafuta vita na watu,mimi staki kugombolezea[emoji2]
Nikajua tyr mshasaidiana majukumu 🤣🤣🤣Huwaga ni much know,so huwa napenda kumzingua tu 🤣🤣🤣
Sinaga ujinga Huo Mimi...😁😁Nikajua tyr mshasaidiana majukumu 🤣🤣🤣
hizi ni story za kizinzi. sikuhukumu ila zinahamasisha uzinzi na sio story za kweli. darasa la saba aliyekuwa housegirl hawezi kuandika story kama hii, na ni wachache sana wapo JF. usifikiri sisi watoto. mwongo mkubwa wewe.Mimi elimu yangu sio kubwa niliishia std 7, nina miaka 19, nimepitia changamoto nyingi sana za maisha. Mama na baba walitengana mimi nikiwa darasa la pili, kwahiyo nimeishi na baba kijijini huko mpaka nikamaliza la 7.
Nilipomaliza nikipata kazi za ndani mjini, nikaenda kwa huyo mama kufanya u house girl. Nimefanya miaka 3 sikuwahi kurudi kijijini ila baba nilikuwa namtumia pesa.
Kwa bahati mbaya mwaka Jana nikapata mimba baada ya kuanza tu mahusiano kwa mara ya Kwanza na kijana mmoja hivi. Yule mama alinifokea sana lakini akanifanya kama mwanae na yule kijana akawa anatoa sapoti ya huduma. Lakini kabla sijajifungua yule kijana aliondoka kwenda kwao hatoi tena ushirikiano na nilipoongea na kaka yake akasema huyo kijana kashaoa na hatakuja tena mjini.
Hadi Sasa Nina miezi 8 tangu nijifungue mtoto wa kike. Lakini tangu nimejifungua yule mama alikuwa ananinyanyasa kisa sina mtu anayenisapoti mahitaji.
Kuna shangazi yangu wa damu kabisa anaishi kwenye hili Jiji nilipo nikampigia nikamweleza akaniambia anaongea na mme wake waone Cha kufanya. Akanipa jibu kwa anko amekubali niende kukaa kwao maana wamejenga Wana nyumba mbili na watoto ni Wawili tu wakike wadogo tu wa kwanza Darasa la tatu na wapili ni chekechea.
Kimwonekano shangazi yangu ni kama tunalingana ila umri kanizidi hata anko mwenyewe ni kijana bado sema amefanikiwa kimaisha mapema.
Nina miezi mitatu nipo hapa ni watu ambao wapo bize sana maana kukicha asubuhi anti anaenda kusimamia biashara zao na anko anaenda kazini alikoajiriwa kwenye kampuni moja. Watoto wote wanaenda shule nyumbani nabaki peke yangu.
Huyu anko sikuwa namfahamu tangu amuoe anti ndo mara ya kwanza, nilikuwa namsikia tu. Kimwonekano ni mpole, hana kisirani, sio mwongeaji sana mara nyingi bize na laptop yake.
Nikibaki peke yangu nyumbani, wakati wa kurudi wanaanza watoto Kisha anafuatia anko saa moja moja hivi ndo anafuatia anti lakini kama anko akipitia kwenye biashara zao wanarudi wote na anti.
Sasa tangu nimefika anko huwa wakati mwingine ananipa pesa ananiambia kwaajili ya matumizi yangu binafsi na mtoto. Nilikuja nikiwa na kiswaswadu, anko akanunua simu akampa anti, anti akanipa akaniambia anko wako kakununulia, nikashukiru sana maana sijawahi kutumia smartphone.
Siku moja kabla ya kuniambia niachotaka kusema, alishinda nyumbani wakati huo watoto wameenda shule na anti ameenda Kwenye eneo kusimamia biashara zao.
Alinipa pesa nikanunua nyama, akaniambia ikiiva nimwekee supu...nilifanya hivyo nikamwandalia nikamwekea mezani nikamwambia anko supu iko tayari akasema nimpelekee chumbani maana yupo bize na akasema mgeni yeyote akija nisiseme kama kama yupo. Nikampelekea nikamwekea huku akiwa bize na laptop yake pembeni chumbani kwao Kuna kiti na meza, alikuwa na bukta na singilendi.
Alipomaliza akaniita nitoe vyombo akaniambia Asante sana kwa supu, ilikuwa tamu sana, wewe ukiolewa utakuwa mke bora sana. Nikamwambia asante anko, nikaondoka.
Sasa Jumamosi kazini kwake huwa anarudi mchana, ana kawaida ya kupitia kwenye biashara zao kuangalia maendeleo lakini Jumamosi alinyoosha tu nyumbani. Alinikuta Mimi maana watoto walikuwa wameenda kucheza nyumba jirani.
Alirudi mnyonge, akaniita kwa Jina, nikaitika abee akaniambia njoo , alikuwa kwenye kichumba kidogo kina shelfu za vitabu vitabu watoto huwa wanasomea huko na yeye wakati mwingine anakuwaga ana laptop yake.
Nilipoingia alikuwa ameanamia chini kapiga magoti anachambua chambua makaratasi, anko huwa hana ujasiri sana wa kuongea, ila akaniambia unajua anti yako tumegombana na unajua ukali wake hadi sahivi akili yangu haiko sawa hata kazini kimawazo sipo sawa maana sijakutana nae mwezi mzima. Usione tunarudi wote ila kiukweli siko sawa kiakili. Mi naomba unisaidie mwili wangu hauko sawa nashindwa utulivu wa akili. Akasema samahani sana sio kwa vile upo kwangu usinifikirie vibaya, nakupa Uhuru, hata ukikataa siwezi kuchukia ila iwe siri usimwambie shangazi yako au mtu yeyote.
Nikamwambia anko Mimi leo sipo sawa nikiwa sawa nitakwambia, ila sikuwa hedhi nilikuwa nipo sawa tu, akasimama akanishika mkono akaniambia lini utakuwa sawa, nikamwambia baada ya siku tatu. Akaniambia sawa akanikumbatia kwa mara ya Kwanza niliwaza sana nakukosa amani.
Sasa hapa nipo Njiapanda, sielewi nifanyaje jamani, leo ni siku ya tatu tangu nimwambie kwamba nitakuwa tayari baada ya siku tatu, wiki hii ataniambia tena. Naomba ushauri, maana nawaza au nimwambie anti, nikisema niondoke mi sina Chochote, sina hapa pa kuanzia, baba mwenyewe kijijini anategemea nimtumie pesa. Halafu Sasa hata baba huwa anaongea na anko kumshukuru kwa kunipokea, anko anamwambia uwe na amani Yuko salama kabisa.
Naomba mnishauri nifanyaje.
Sidhani kama la saba wanaandikaga hiviMimi elimu yangu sio kubwa niliishia std 7, nina miaka 19, nimepitia changamoto nyingi sana za maisha. Mama na baba walitengana mimi nikiwa darasa la pili, kwahiyo nimeishi na baba kijijini huko mpaka nikamaliza la 7.
Nilipomaliza nikipata kazi za ndani mjini, nikaenda kwa huyo mama kufanya u house girl. Nimefanya miaka 3 sikuwahi kurudi kijijini ila baba nilikuwa namtumia pesa.
Kwa bahati mbaya mwaka Jana nikapata mimba baada ya kuanza tu mahusiano kwa mara ya Kwanza na kijana mmoja hivi. Yule mama alinifokea sana lakini akanifanya kama mwanae na yule kijana akawa anatoa sapoti ya huduma. Lakini kabla sijajifungua yule kijana aliondoka kwenda kwao hatoi tena ushirikiano na nilipoongea na kaka yake akasema huyo kijana kashaoa na hatakuja tena mjini.
Hadi Sasa Nina miezi 8 tangu nijifungue mtoto wa kike. Lakini tangu nimejifungua yule mama alikuwa ananinyanyasa kisa sina mtu anayenisapoti mahitaji.
Kuna shangazi yangu wa damu kabisa anaishi kwenye hili Jiji nilipo nikampigia nikamweleza akaniambia anaongea na mme wake waone Cha kufanya. Akanipa jibu kwa anko amekubali niende kukaa kwao maana wamejenga Wana nyumba mbili na watoto ni Wawili tu wakike wadogo tu wa kwanza Darasa la tatu na wapili ni chekechea.
Kimwonekano shangazi yangu ni kama tunalingana ila umri kanizidi hata anko mwenyewe ni kijana bado sema amefanikiwa kimaisha mapema.
Nina miezi mitatu nipo hapa ni watu ambao wapo bize sana maana kukicha asubuhi anti anaenda kusimamia biashara zao na anko anaenda kazini alikoajiriwa kwenye kampuni moja. Watoto wote wanaenda shule nyumbani nabaki peke yangu.
Huyu anko sikuwa namfahamu tangu amuoe anti ndo mara ya kwanza, nilikuwa namsikia tu. Kimwonekano ni mpole, hana kisirani, sio mwongeaji sana mara nyingi bize na laptop yake.
Nikibaki peke yangu nyumbani, wakati wa kurudi wanaanza watoto Kisha anafuatia anko saa moja moja hivi ndo anafuatia anti lakini kama anko akipitia kwenye biashara zao wanarudi wote na anti.
Sasa tangu nimefika anko huwa wakati mwingine ananipa pesa ananiambia kwaajili ya matumizi yangu binafsi na mtoto. Nilikuja nikiwa na kiswaswadu, anko akanunua simu akampa anti, anti akanipa akaniambia anko wako kakununulia, nikashukiru sana maana sijawahi kutumia smartphone.
Siku moja kabla ya kuniambia niachotaka kusema, alishinda nyumbani wakati huo watoto wameenda shule na anti ameenda Kwenye eneo kusimamia biashara zao.
Alinipa pesa nikanunua nyama, akaniambia ikiiva nimwekee supu...nilifanya hivyo nikamwandalia nikamwekea mezani nikamwambia anko supu iko tayari akasema nimpelekee chumbani maana yupo bize na akasema mgeni yeyote akija nisiseme kama kama yupo. Nikampelekea nikamwekea huku akiwa bize na laptop yake pembeni chumbani kwao Kuna kiti na meza, alikuwa na bukta na singilendi.
Alipomaliza akaniita nitoe vyombo akaniambia Asante sana kwa supu, ilikuwa tamu sana, wewe ukiolewa utakuwa mke bora sana. Nikamwambia asante anko, nikaondoka.
Sasa Jumamosi kazini kwake huwa anarudi mchana, ana kawaida ya kupitia kwenye biashara zao kuangalia maendeleo lakini Jumamosi alinyoosha tu nyumbani. Alinikuta Mimi maana watoto walikuwa wameenda kucheza nyumba jirani.
Alirudi mnyonge, akaniita kwa Jina, nikaitika abee akaniambia njoo , alikuwa kwenye kichumba kidogo kina shelfu za vitabu vitabu watoto huwa wanasomea huko na yeye wakati mwingine anakuwaga ana laptop yake.
Nilipoingia alikuwa ameanamia chini kapiga magoti anachambua chambua makaratasi, anko huwa hana ujasiri sana wa kuongea, ila akaniambia unajua anti yako tumegombana na unajua ukali wake hadi sahivi akili yangu haiko sawa hata kazini kimawazo sipo sawa maana sijakutana nae mwezi mzima. Usione tunarudi wote ila kiukweli siko sawa kiakili. Mi naomba unisaidie mwili wangu hauko sawa nashindwa utulivu wa akili. Akasema samahani sana sio kwa vile upo kwangu usinifikirie vibaya, nakupa Uhuru, hata ukikataa siwezi kuchukia ila iwe siri usimwambie shangazi yako au mtu yeyote.
Nikamwambia anko Mimi leo sipo sawa nikiwa sawa nitakwambia, ila sikuwa hedhi nilikuwa nipo sawa tu, akasimama akanishika mkono akaniambia lini utakuwa sawa, nikamwambia baada ya siku tatu. Akaniambia sawa akanikumbatia kwa mara ya Kwanza niliwaza sana nakukosa amani.
Sasa hapa nipo Njiapanda, sielewi nifanyaje jamani, leo ni siku ya tatu tangu nimwambie kwamba nitakuwa tayari baada ya siku tatu, wiki hii ataniambia tena. Naomba ushauri, maana nawaza au nimwambie anti, nikisema niondoke mi sina Chochote, sina hapa pa kuanzia, baba mwenyewe kijijini anategemea nimtumie pesa. Halafu Sasa hata baba huwa anaongea na anko kumshukuru kwa kunipokea, anko anamwambia uwe na amani Yuko salama kabisa.
Naomba mnishauri nifanyaje.
Niliona sehemu kamtuma coca akufikishie ujumbe 🤣🤣🤣Sinaga ujinga Huo Mimi...😁😁
Nampendaga tu Kwa namna ya kumzingua
Anaogopa kuja straight 😆Niliona sehemu kamtuma coca akufikishie ujumbe 🤣🤣🤣