Mume wa shangazi ananitaka kimapenzi, naomba ushauri

Hata Mimi baada ya kusoma nikacheki alijiunga lini...

πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ
 
Naomba mwendelezo wa story, ili ishia wapi ?!
 
Ila we unamaliza la Saba tu? mbona uandishi wako unamshinda mbali hata yule Ironbutterfly anaesemaga ana masters ya Birmingham

Anyway, pole Kwa mtihani,hao ndio wanaume hawakupi msaada bila return,,,hapo tumia akili za kuzaliwa kutatua hiyo puzzle
Ndiyo umpe wazo sasa mwenzako, siyo mambo ya kusema ajiongeze, mwenzako yupo dilema now
 
Huu mwandiko sio wa mtu wa std 7
 
Mpe tu,ukikataa utateseka na mtoto.
 
Tangu2016 ni member ila ulikua huna smarthophe uwo umember umeupata vp
Lakin kwa maelezo tu iyo ni story km story zingne na nshaona ingne humu jf inafanana kbsaa na iyo
Yote ya yote ayo mpe mzgo sabu ata ukimnyima atapata kwingne af ataanza mtesa shangaz yako so ni bora utamu ubaki ndani na eshima na aman iendele kutawala home
 
Always follow your heart bt always remember to carry your brains with you.
 
hili no ni swala la kutuomba ushauri???ntoa mbususu iyo kimyakimya, tena muombe na hela ya mtaji atakupa.
Wacha kukaa kizembe uutbakwa na hakuna mtu utaweza mwambia...
nb: ukishagawa mbususu njoo tupe mrejesho
 
Hiyo chai, unatunga hadithi.Darasa la saba hawezi kuwa na mpangilio mzuri hivyo.Usikute una - Masters tena ngumu..halafu unaandika uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…