antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Nakazia ✍️✍️✍️No matter how beautiful she looks, someone somewhere is tired of her shit..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia ✍️✍️✍️No matter how beautiful she looks, someone somewhere is tired of her shit..
Usicomment vitu vilivyo nje ya upeo wako.Nasema hili kwa nia njema kabisa. Mama kuhusu ishu ya mafuta nina uwakika hajui kua mafuta ni shida kubwa kwa sasa.
Ona hii takataka inaandika upumbavu utadhani Bata anaharisha.kwanza ni wapi hapo hakuna mafuta, au unaokoteza viumbea vya husda, mwenyewe huna boda boda sheli ulienda kufanya nini. Wenzako wote PhD holders we unakuja huku na husda zako, uonage aibu. Ikitokea hitilafu kidogo sehemu flani mnakuja huku, mmeifanya JF jukwaa la walioshindwa maisha, wenye stress
MAMA Spika
Baba EWURA
Hafai kuwa hapo alipo.Nasema hili kwa nia njema kabisa. Mama kuhusu ishu ya mafuta nina uwakika hajui kua mafuta ni shida kubwa kwa sasa.
Ona hii takataka inaandika upumbavu utadhani Bata anaharisha.
Hujui kinachoendelea takataka kaa kimya.
Ukimuona Ngedere mjini ujue kaletwa!Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?
Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.
Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.
Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.
Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.
Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.
Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.
EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
Watu wanakula tu nchiMAMA Spika
Baba EWURA
Jana Kipara anahangaika na mafanikio ya mchongo ya TANESCO anaacha issue nyeti ya Mafuta!Hatari Mno. Wanao safii na magari madogo kati ya Dar hadi kigoma wana pata shida sana.
Ukishafika gairo, hakuna mafta, tabora hakuna mafuta. Kimsingi vituo vya nje ya mkoa vyote havina mafuta.
Hatuwapendi yeye DG na mkewe wote!Tatizo ni Ewura kama uwura!?
au tatizo Dr James Mwainyekule!?
Tatizo ni umume wa spika!?
Tatizo ni Spika!?
Tatizo ni umke wa mkurugenzi!?
Au tatizo ni dada Tulia Jackson!?
Kama vile siielewi maada
Eti Spika wa Bunge la mchongo anagombea Urais wa Jumuiya ya Mabunge Duniani,dah![emoji1787][emoji1787]Mwenyewe yuko bize arudi jimboni 2025
Kupachikana vyeoNchi inaharibika sababu ya mambo ya kijinga kama haya
Hawa jamaa hata steve nyerere wangeweza mpa ukurugenzi ewuraWhat are the odds? [emoji16], kwahiyo ni kigezo kipi kilitumika kumpa hiyo nafasi [emoji16]
Utakuja tu kujua hapo badayeTuchambulie kidogo basi matatizo ya spika kwa uwura
Maisha tunayo na ndiyo maana tuna pesa ya bando kila siku.Ni hivi kama umekalia ofisi ya Umma utasemwa na kukosolewa sana tu ukikosea.Kama hutaki wakosolewe, washauri wakafungue ofisi zao binafsi!kwanza ni wapi hapo hakuna mafuta, au unaokoteza viumbea vya husda, mwenyewe huna boda boda sheli ulienda kufanya nini. Wenzako wote PhD holders we unakuja huku na husda zako, uonage aibu. Ikitokea hitilafu kidogo sehemu flani mnakuja huku, mmeifanya JF jukwaa la walioshindwa maisha, wenye stress
Kwaiyo hajui kwamba mafuta hamna?Usicomment vitu vilivyo nje ya upeo wako.
Rais kila siku asubuhi anapewa briefing ya nchi nzima na DG wa Tiss ambaye analetewa report ya RSO wote wa nchi nzima kila siku.
Asali kote kote!!MAMA Spika
Baba EWURA