mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Kwl wanaume wote warembo hawamtaki? Mpaka kuangukia kwa MWANAUME sura NGUMU?Jack ana haraka ya ndoa haangalii hata kama vingine anataka ndoa arushe picha insta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwl wanaume wote warembo hawamtaki? Mpaka kuangukia kwa MWANAUME sura NGUMU?Jack ana haraka ya ndoa haangalii hata kama vingine anataka ndoa arushe picha insta
Basi Kama ni hvyo ngoja na mm nitangaze ndoa kwa sepenga... Kama kigezo ni ndoa.. Ila sikubaliani na mawazo yako mkuu,, kwn bila kumshawishi wolper sidhani Kama angeingia kwnye ndoa,,, hana uhitaji wa hvyo hasa kwa MWANAUME sura NGUMUUsishangae hata mahali Wolper kajichangia.Maana alikuwa anataka sana ndoa.Na condition ya kumkubalia ilikuwa ni Ndoa.
Aliandika mwenyewe IG.Basi Kama ni hvyo ngoja na mm nitangaze ndoa kwa sepenga... Kama kigezo ni ndoa.. Ila sikubaliani na mawazo yako mkuu,, kwn bila kumshawishi wolper sidhani Kama angeingia kwnye ndoa,,, hana uhitaji wa hvyo hasa kwa MWANAUME sura NGUMU
[emoji102]Brown
Mwanamme anapiga piga mapicha na kujiremba ovyo.
Yani anashinda Gym na kutinda nyusi awanase wanawake wenye pesa .
Mwanamme mdangaji simpendi kabisa.
Wanatutesa kimapenzi na pesa wanataka shenze.Afanye kazi aache umariyoo
Duu.. Kwhyo unakubaliana na mm kwamba wanaume SURA NGUMU NDY waoaji na NDY mpango nzima,,, na sio longolongo,,,, kwahyo wolper yupo alipostahili,, kachoshwa na wanaume wanaocheka cheka,,,,Aliandika mwenyewe IG.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti eeWolper awe na amani, kuibiwa hapa si rahisi
Hahahahha lohh umenikumbusha mbali jamaniHuyu jamaa hatari sana kama Saibogi hahahahahahaha
Kwa hiyo nani kapatwa?Baniani mbaya kiatu chake sawa
Wolper kapatwa bila ubishi...anatapatapa tuKwa hiyo nani kapatwa?
Atakua mchele huyu jamaa!Alishakupitia?